Je, kama leo ingekuwa siku ya kiama kosa gani ambalo ungehojiwa na mungu ungeshindwa kujitetea?

Mmmmh hata kuliweka kosa Langu naogopa, Mungu nisamehe
 
Kutokamilisha nusu ya dini
 
Kutowaamini na kuwachukia wanasiasa wa Chama Dola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…