Je, kama Taifa tupo salama kuwa na wabunge wenye vyeti feki waliowahi kufukuzwa kazi kwa kufoji?

Mwenyekiti mwenyewe tatizo , Hawa wengine unafikiri itakuwaje ? Like father like son .
 
Nchi hii haipo salama kila sekta,tena kwenye utawala huu,ndio balaa,Raisi,inasemekana PHD yake ni ya magumashi,ndio maana ben saa nane,alipotezwa,viongozi hawafati utawala wa Sheria,huku DC anachapa watu,kwingine Mkurugenzi anapigana na mwanafunzi,state sponsored robbery imeshamili,watu wananyangsnywa pesa zao benki,bila maelezo,DPP,akikuotea tu,unampa mpunga,
TRA wanakusanya mapato,Polisi wanakusanya mapato,DPP anakusanya mapato,
Kila sekta imejaa mijitu,ambayo,ipo pale kulipa visasi,kuiba,kuumiza,kukomoa,na wala si kuhudumia Wananchi,
Kila kona ya nchi,watu wanabambikiziwa kesi,DPP yupo bize na Mbowe,wapinzani,
 
Nakubaliana na wewe.
 
CCM kote kumejazana WAHALIFU tupu, ni suala la kuomba Mungu tu ili azidi kutupambania na hili JINAMIZI.
 
Zingine hizi ni sanaa,na sanaa ni kazi za watu hivyo yafaa tuwaachie wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…