Shida yako nini,?Huyu Allah aliyetoa ahadi wa mabikira 72 sidhani kama ni Mwenyezi Mungu!
Mwenyezi Mungu hawezi kutoa ahadi ya aibi kama hi!
Wewe Hujui kitu.Tatizo tunafikiri tutakuwa na fikira hizihizi huko peponi. Pepo ni spiritual realm, tukifa tunaingiacp dimension nyingine.
Eating spiritually is not eating materiallyWewe Hujui kitu.
Yesu Huyu hapa asema
Math 8:11 Watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi na kula pamoja na Ibrahimu, Isaka, na Yakobo katika ufalme wa Mungu. 12 Na wale wasiopaswa kuwa katika ufalme watatupwa nje gizani. Na huko watalia na kusaga meno yao kwa sababu ya maumivu.”
Haha sasa unakubaliana na mimi,Eating spiritually is not eating materially
...............................
Canality versus spirituality
Wewe unajua au Mungu aliye umba?Ujuha wa hii dini bana, halafu kumtafuna bikira huwa ni usumbufu tu, sema wanaume hufurahia tendo na bikira kwa sababu unajua wewe ndiye wa kwanza kwake, ila hamna raha pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bado tunaamishwa:
1. Kuna mto wa pombe tamu!
2, Ukiua wenzio unaenda ahera na unapokewa na mabikra swafi 4!
Halafu watu wanadanganywa hiki ni kitabu kilishushwa toka mbunguni [emoji1787]
Math. 26:29 Ninataka mjue kuwa, hii ni mara ya mwisho nitakunywa divai mpaka siku ile nitakapokunywa divai mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”Hapo ndipo utagundua Quran imeandikwa na wanaume, si na Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa iyo ni mbingu DANGULO??
Biblia na Quran zote uongo ule ule.Math. 26:29 Ninataka mjue kuwa, hii ni mara ya mwisho nitakunywa divai mpaka siku ile nitakapokunywa divai mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
Pep[oni kula kupo lakini sujui mnakwama wpi.
Mimi situmii Qur-an hapa
Hii Biblia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Allah aliyetoa ahadi wa mabikira 72 sidhani kama ni Mwenyezi Mungu!
Mwenyezi Mungu hawezi kutoa ahadi ya aibi kama hi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujawahi niangushaaa bhanaa.Hapo ndipo utagundua Quran imeandikwa na wanaume, si na Mungu.
ah!!!..kumbe mbinguni kuna kupigana miti!!! da!!!!.........................As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
Hiyo ni Koroani yani binafsiHizo ni theory za kusadikika. Nafsi haihitaji tena kuzaliana kama mwili.
sasa huoni zamaradi alliombwa mbususu na peteroah!!!..kumbe mbinguni kuna kupigana miti!!! da!!!!.........................
Kivipi Kuna tatizo wakati kila kukicha mnaenda kuomba msaada kwao. Sisi tumetawaliwa na wanaume tokea uhuru ila hata matundu ya choo ni shida. Mambo ya maendeleo au maadili hayana connection na jinsiaingawa wanawake nao ni tatizo kubwa wakiachiwa wafanye wanavyotaka mfano angalia nchi za wazungu
HahaMtajijua wenyewe si mnajifanya kama ma-dish yenu yameyumba hapa duniani, sasa dawa yenu imepatikana yani mbinguni hamuendi tunaenda madume tu kukutana na hao wachumba 72. Haya endeleeni na sarakasi zenu