Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Hicho kitabu kiliandikwa na wahuni halafu Muhammad anadanganya eti aliteremshiwa. Ndiyo kimezaa dini ya kihuni.

Imagine mtu anaambiwa akijiua kutetea Imani yake eti kuna mabikra 72 wanamsubiri peponi. !! Yaani huko peponi hakuna cha maana zaidi ya ngono?? Uhuni mtupu
Sasa ukute hyo mada inavyopendwa
Hz dini ukiwa critical hutazfuata
 
Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata, Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovu
So na mwanamke mwema atapata vijeba 72
 
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?

Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?

Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?

Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).

Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.

Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwahyo duniani tuliletwa kuteseka
 
Mimi nazungumzia biblia inachosema, kama unaamin biblia tunaweza elewana kama huamini basi hatutafika mwisho.

Yesu aliulizwa kuhusu mwamba mwenye wake wengi kuwa mbinguni atakuwa Mme wa Nani mana jamaa alikuwa na wake Saba , Yesu akawaambia kuwa hawajui mambo ya mbinguni , mana mbinguni hakutakuwa na kuoa wala kuolewa Bali watakuwa kama malaika walivyo ... Means mfumo wa ndoa unaishia hapa hapa Kwa maisha haya
Na pepo ni state of mind
Hv inaingia akili kuwa peponi kutakuwa na kupelekeana moto?
 
Biblia Ina maelezo mengi yanayokinzana kuhusu maisha ya mbinguni,Mara iseme Kuna ziwa la moto waovu wataingia humo wakati wema watakua wakimuabudu mungu kwa nyimbo,Mara iseme waovu watayeyushwa...utaamua mwenyewe ushike lipi
Mfano nikisema wakiingia kwenye huo ziwa na moto watayeyuka nitakuwa nimekosea
Au hujui kuwa joto kubwa huyeyusha chuma
 
Kwa hiyo dini inayosema kuwa tunaenda mbinguni Kugida pombe ma kut*mber wanawake 72 ndio inaonekana inatoka kwa Mungu na ile inayosema kuwa Tunaenda Kumuabudu Mungu milele inatoka kwa shetani?
Hii kitu inatakiwa upate wabobezi wa qur,aan walifahamishe pia uwe na imani
 
Hii kitu inatakiwa upate wabobezi wa qur,aan walifahamishe pia uwe na imani
Jibu swali. [emoji116]

Dini inayosema kuwa tunaenda mbinguni Kugida pombe ma kut*mber wanawake 72 ndio inaonekana inatoka kwa Mungu na ile inayosema kuwa Tunaenda Kumuabudu Mungu milele inatoka kwa shetani?
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake watutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Nyie mafeminist wa duniani mbingu mtaisikia tu kwenye waya. Wale walioandandaliwa sio feminist ni special kwa wanaume plus wachache wa hapa duniani ambao sio mafeminist watakaoungana na hao mabikra
 
Jibu swali. [emoji116]

Dini inayosema kuwa tunaenda mbinguni Kugida pombe ma kut*mber wanawake 72 ndio inaonekana inatoka kwa Mungu na ile inayosema kuwa Tunaenda Kumuabudu Mungu milele inatoka kwa shetani?
Qur-an iimeweka wazi kuhusu maisha baada ya Kifo. Siku ya kufufuliwa. wako wa peponi na wako wa Motoni
Hii ni Taarifa tuu ya Muumba aliyotupa ili tujiandae. Asiye amini na aendelee na Pumbao la Dunia mpaka Pumzi zitakapokata.
Na wanao amini waongeze bidii ya Kujichunga na Mabaya na kizidisha Mema. Maana Ahadi imetolewa na MUNGU Muumba wa Ulimwengu.
 
Ili Amfanye nini?
Usifanye Ujinga chakula kama chakula.
Zungumza yanayoleta maana (Non sence ni kuidunisha akili)
Hold on kwanza mimi nime quote alicho andika huyo.
Nini maana ya "mtu atapata atakacho!?"
 
Back
Top Bottom