Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Your desires are desires of the flesh which is dying. The real you, which is the spirit inside you, has no lust or desire. So anyone who tells you that you will be having sex with virgins in paradise is lying to you

Sent using Jamii Forums mobile app
How can the spirit being punished by hellfire then? if it can not enjoy sex desire and eating food?
 
Ukweli kuhusu Mbinguni au p[eponi kuwa tutaishi kwa mwili na Roho.
Tutafaidi Vyakula na Ngono kama hivi duniani.
Tutavaa nguo za Kupendeza na tutatembeleana kwenye mitaa yenye amani na harufu njema.
Tutaishi na Mabustani ya miti ya matunda na mito ya maji na asali na maziwa yanayotiririka kando kando ya majumba yetu.
Peponi tutazawdiwa kilaaina ya vitu nafsi inapenda. kutakuwa na masoko na vitu anuwai, bali hakuna kununua ila utachukua upendacho buree.
Kubwa zaidi yahilo tutamuona Mungu kwa macho yetu na tutampenda kumtazama kwa hamu na yeye atatupenda.
Pepon hakuna kuoneana choyo wala kugombana, ni amani juu ya amani naupendo.
Peponi Tutakuwa na Uhai wa Milele , hakuna tena Kufa walakuumwa wala kuzeeka.

Apendaye kuingia Pepo Hiyo ya Allah, na Amuamini Muhammad kama Anavyo waamini Manabii waliotangulia akina Yesu, Yohana , Zakaria Yakobo, Isaka, Ismail na Ibrahim, na Noa.
na Amuamini kuwa wote hao wametoka kwa Mola Mmoja tuu ambaye Ni ALlah,Au Yehova ,Mungu wa kweli
 
Wewe unajua au Mungu aliye umba?
Kama wewe huoni raha na Bikira basi una shida ndugu.
Sisi wenzako kama tutapewa kazi za Kutowa Bikira kila siku basi tutamlipa na fedha mwenye Bikira wake jinsi tunavyozipenda.
Kutowa bikira inabidi uwe Dume la Shoka siyo Bwege bwege.
Pipe lazima Iwe Ngumu na yenye kusimama sawasawa 90 degree

Mungu hawezi fanya vitu vya kijuha hivyo, fahamu ngono no zoezi la kuwezesha kuzaliana na kuendeleza kizazi, huyo mwarabu wenu alikua anagegeda hadi katoto ka miaka 9, ujuha wa ajabu.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Weka hizo aya usemazo, zinukuu hapa, Usizuwe.
 
Dah ila hii dini ya mchongo ya mtume feki mudi ina matatizo sana na lijitabu lao linachochea ngono na ulevi tu
Umeshawahi kukisoma hicho kitabu ? au unasikia tuu?
Uliwahi kumsoma huyo Muhammad sera yake? au unafuata tuu mkumbo?
Tafadhali Jifunze Ustaarabu ikiwa wewe ni Mkiristo, Laa kama ni Kafiri sina Hoja nawewe.
QUR-AN NI KITABU PEKEECHA DINI KILICHO SAHIHI DUNIANI 100% Na kina kila aina ya ushahidi huo.
Muhammad ni Mtume Wa Mwisho na ndiye pekee aliye watambua watangulizi wake kwa akina Yesu, Yohana, Jakob, Yona Ibrahim na wengine.
Kama haja yako ni kutukana tuu Mimi nakumuta viatu vyangu kwako.

Math. 26:29 ''Ninataka mjue kuwa, hii ni mara ya mwisho nitakunywa divai mpaka siku ile nitakapokunywa divai mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
 
Ubora wa wanawake waumini watakao ingia peponi kuliko Mahurul-ain.

Ummu salamah (radhia Allahu anha) alisema kwamba nilimuuliza Nabii (swallallahu alayhi wasallam)"
"Ewe Nabi wa Allah! wanawake wa Duniani ni bora zaidi au Mahurul-ain wa Peponi?
Nabi (swallallhu alyhi wasallam) akajibu: Wanawake wa Duniani watakuwa bora zaidi kuliko Mahurul-ain kama vile (Ribon) ya nje ya nguo ni bora kuliko ya ndani.
Ummu Salamah (radhia Allahu anha akauliza: kwa sababu gani?
Nabii (Swallallahu alayhi wasallam) akamjibu: Kwa sababu walitekeleza Swala, wakafunga saumu zao na wakamuabudu Allah (Azza Wa Jalla). Allah atawaweka nuru ndani ya nyuso zao na Hariri kwenye miili yao. Wanawake wa Duniani watakuwa na miili na rangi nzuri zakuvutia zilizo sawa na watavaa nguo za kijani kibichi na vito vya manjano. Vichetezo vyao vitakuwa ni vya lulu na vichana vya nywele ni dhahabu.

Watasema wanawake wa Duniani (wakishaingianPeponi) ; sisi ni wanawake tutakao kaa milele na hatutakufaa tena. Sisi ni wanawake ambayo siku zote tutakuwa na maisha mema mazuri tuliomakinika nayo na hatuna tena dhiki wala uzito wowote. Sisi ni wanawake ambao tutaketi (Peponi) wala hatuondoki tena. Sikiliza, sisi tuna furaha na hatutakuwa tena na huzuni milele. Bishara njema kwa wale wanaume ambao sisi ni wake wao na wao na waume wa sisi.
(Tabrani).

Kama vile uzuri wa Mahurul-ain ulivyo, wanawake wa Duniani watakuwa ni bora na wazuri zaidi kuliko Mahurul-ain ndani ya Pepo.
Fikiria, itakuwaje kuvutiwa na furaha na kupendezwa na wanawake wa Duniani watakao jaaliwa kuingia Peponi!
KUlingana na sifa za Mahurul-ain walivosifiwa watakuwa hawawafikii kwa uzuri wanawake wa Duniani waliokuwa wema Duniani wakaingia Peponi.

Ndani ya Qur'an na Hadith za Mtume (Swallallahu alayhi wasallam) tumesoma kuwa Hurul-ain ni mwanamke mdogo aliye mzuri sana mwenye kuonekana mwili wake mpaka ndani ya mfupa yaonekana kama misitari ya lulu na rubii. Anafana na tembo jekundu ndani ya glasi nyeupe.
(AtTirmidhi)

Hurul-ain ana macho makubwa, mazuri na mboni yake nyeusi na jicho jeupe sana.Ana haya sana na mwenye kuinamisha uso wake chini. Hawezi kumuangalia mwanamume yoyote kabisa ispokuwa mume wake tu.Atajisikia furaha na kushukuru kuwa mke wake na atakuwa mwenye kuweka amani na mumewe kila wakati. Hurul-ain ni mdogo na hawezi kufaa na umri utabaki mdogo wala hazeeki. Atakuwa hana uadui na mumewe na anazungumza kwa upole na utaratibu.Ni mweupe na hata kuwa na upungufu wala kasoro yoyote kama vile kutokwa na damu ya hedhi wala kukojoa au kutokwa na haja kubwa au kubeba mimba na mfano wa hivyo.
(AtTirmidhi)

Kwa vile ameletwa kwa Starehe , yeye mwenyewe ni starehe tosha! Ikiwa Hurul-ain ata angalia ardhini kutoka mbinguni, basi ile urefu wa masafa baina ya Mbingu na Ardhi Itajaa Nuru na harufu nzuri kutoka kwake. Uso wake unangaraa kuliko kioo na aweza mtu kujiona uso wake ndani ya machafu yake. Pindi mumewe akigeuza uso kuangalia kwingine basi uzuri wake unakuwa mzuri zaidi kwa mara sabini.
Ikiwa atatema mate ndani ya bahari kubwa saba za maji ya chumvi basi yale maji yote yatageuka kuwa tamu kuliko asali.

Hata hivyo,wanawake Waislamu wa duniani watakaoingia Peponi hawatasikia wivu kwa Mahurul-ain kwa namna watakavyokuwa wazuri sana kuliko Mahurul-ain kwa kila namna ya uzuri.Wanawake wema watakaoingia Peponi, hata kulingana na umri waliokufa nao na namna walivyo umbwa Duniani, watakuwa wanavutia sana kuliko Mahurul-ain wa Peponi. Hurul-ain ni mojawapo tu ya mapambo ya Peponi . Ameumbwa kwa ajili ya mtu fulani.

Upande mwingine wanawake Waumini wanastahiki ya kupata malipo makubwa na watapewa malipo hayo makubwa huko Peponi.
Hadithi hii inatueleza ubora wa wanawake wa Duniani kuliko Mahurul-ain wa Peponi. Na ni kwa kuwa walichagua kumuabudu Allah (Subhana Allah wa Ta'ala) hapa Duniani.

Wasia kwa madada zetu na mama zetu, Ikiwa mtaswali swala zenu tano kila siku na mkafunga saumu ya Ramadhani na mkawatii waume zenu na mkalinda tupu zenu ispokuwa kwa waume zenu basi mtaingia peponi kwa mlango mtakao nyinyi.

Allah awajaliye madada zetu na mama zetu na wake zetu ni wenye kuingia peponi . Ameen

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Natarajia Hadithi hii Itakuwa Kifungio cha uzi huu na Hitimisho zuri kabisana Jawabu kwa mwenye kuuliza.
Allah Amlipe Kheri aliye tuleteya Madda hiina Jibu hilo zuri
 
Wanawake wailsamu wanatakiwa waelewe
Kutokuwakasirisha matipwatipwa ya allah , mume ulie nae yanamsubiria kwa hamu na yanaomba allah akuangamize mapema

Koran
78:33. Na wanawari walio watipwatipwa wa hirimu yao,
Sahih International
78:33 And full-breasted [companions] of equal age
Mohsin Khan: And young full-breasted (mature) maidens of equal age

Imesimuliwa kutoka kwa Mu'adh bin Jabal kwamba:
Mjumbe wa Allaah akasema: "Kila mwanamke anayemkasirisha mumewe, mkewe miongoni mwa houris (wa Peponi) Wanasema salama: 'Usimkasirishe, Allah akuangamize, kwani yeye ni mgeni wa muda mfupi na wewe na hivi karibuni atakuacha na ajiunge nasi."' Vol. 3, Book 9, Hadith 2014
 
Kama umeanza kushituka njoo kwa Yesu! Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.Mtu (awe Mwanaume au Mwanamke) akifa akiwa ametubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha na kuishi maisha ya utakatifu,akifa anavuliwa huu mwili wa udongo na kuvikwa mwili mwingine usio wa kuoa au kuolewa!
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Ndo ujue hizo ni porojo tu.. yaani mbinguni igeuke kama danguro watu wanapigana tu miti 24 hours! Mwenye akili yoyote anajua hizi ni fix tu. Watu wanaambiwa vitu wanavyopenda kuwahamasisha, au vitu wanavyoogopa (moto) kuwatisha. Ujinga mtupu!
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa


Jibu swali wewe..wapi pameandikwa watapata nini? Au wanasali na kufunga bure tu? Acha mboyoyo 🚮
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa


Maelezo mengi pamoja na video lkn bado hakuna jibu, nyie waislamu akili zenu mnazijua mwenyewe.
 
Kwanza kabisa Mola wako hamdhulumu mtu yoyote aliyefanya jitihada kwenye kufanya matendo mazuri, ipo hivyo kwa Wanaume na Wanawake wote watalipwa kwa wema wao....SO, WANAWAKE NAO WATAENDA ENJOY PEPONI KWA ENJOYMENTS TOFAUTI TOFAUTI MOLA WAO NDIYO ANAJUA ZAIDI.


Na ukipata nafasi pitia hizi Aya hapa tafadhali 👇🏽
Al-Ahzab 33:35

إِنَّ ٱلْمُسْلِمِينَ وَٱلْمُسْلِمَٰتِ وَٱلْمُؤْمِنِينَ وَٱلْمُؤْمِنَٰتِ وَٱلْقَٰنِتِينَ وَٱلْقَٰنِتَٰتِ وَٱلصَّٰدِقِينَ وَٱلصَّٰدِقَٰتِ وَٱلصَّٰبِرِينَ وَٱلصَّٰبِرَٰتِ وَٱلْخَٰشِعِينَ وَٱلْخَٰشِعَٰتِ وَٱلْمُتَصَدِّقِينَ وَٱلْمُتَصَدِّقَٰتِ وَٱلصَّٰٓئِمِينَ وَٱلصَّٰٓئِمَٰتِ وَٱلْحَٰفِظِينَ فُرُوجَهُمْ وَٱلْحَٰفِظَٰتِ وَٱلذَّٰكِرِينَ ٱللَّهَ كَثِيرًا وَٱلذَّٰكِرَٰتِ أَعَدَّ ٱللَّهُ لَهُم مَّغْفِرَةً وَأَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Waislamu wanaume na Waislamu wanawake, na Waumini wanaume na Waumini wanawake, na wat'iifu wanaume na wat'iifu wanawake, na wasemao kweli wanaume na wanawake, na wanao subiri wanaume na wanawake, na wanyenyekevu wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wanaume na wanawake, Mwenyezi Mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.

An-Nisa' 4:40
إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَظْلِمُ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۖ وَإِن تَكُ حَسَنَةً يُضَٰعِفْهَا وَيُؤْتِ مِن لَّدُنْهُ أَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi Yeye hulizidisha na hutoa kutoka kwake malipo makubwa.
Ujira mkubwa ndo nini? Kunywa maziwa na asali?
 
Wanawake wa duniani walio wema ndio watakaokuwa mahurulaini wa mwanzo kwa waume zao. Sharti hao wanaume wawe walikufa wakiwa wema na wake nao pia. Iwapo wewe ni kizabizabina hutoingia hata peponi na kuwa hurulaini wa mwanamme mwengine iwapo mume wako wa duniani alikuwa muovu na kuwa mja wa motoni.

Hivyo fanya juhudi na pepo yenu wanawake ni nyepesi kwa ibada ndogo tu ijapokuwa hapa duniani shetani anawadanganya sana.
Imeandikwa wapi hiyo? Au ndo unaendeleza porojo za kijinga?
 
Back
Top Bottom