Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, wadau tushirikishane kampuni nzuri na best inayomfaa mteja kuagiza magari nje ya nchi.
Na pia wale ambao wamewahi kuagiza watupe uzoefu wao na waliyopitia, je gari uliyoletewa ndio yenyewe? Vifaa vya ndani je ndivyo vyenyewe?
Pia wale ambao hununua magari kutokea kwenye yard za watu nchini, mtupe uzoefu wenu, naambiwa kua kununua gari kutoka kwenye yard za hapa nchini ni risk, sababu wahusika hua magari yakifika nchini wanatoa vifaa vinavyokuja na gari ambavyo ni orijino na kuweka mafamba, je kuna ukweli wowote.
Karibuni.
Na pia wale ambao wamewahi kuagiza watupe uzoefu wao na waliyopitia, je gari uliyoletewa ndio yenyewe? Vifaa vya ndani je ndivyo vyenyewe?
Pia wale ambao hununua magari kutokea kwenye yard za watu nchini, mtupe uzoefu wenu, naambiwa kua kununua gari kutoka kwenye yard za hapa nchini ni risk, sababu wahusika hua magari yakifika nchini wanatoa vifaa vinavyokuja na gari ambavyo ni orijino na kuweka mafamba, je kuna ukweli wowote.
Karibuni.