Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 10,931 Reaction score 24,816 Nov 28, 2022 #41 Mzee Wa Kale Kabisa said: Umekariri Click to expand... Acha ushamba. Kule juu mtu kaomba kila mtu atoe uzoefu wake. Jamaa katoa wake. Ulimbukeni wako unataka kujionesha wewe unajua zaidi. Sasa si ungetaja ambazo umewahi zisikia kwa watu? Huu ushamba wewe utakuwa mzaramo maana hata wasukuma hawapo hivi.
Mzee Wa Kale Kabisa said: Umekariri Click to expand... Acha ushamba. Kule juu mtu kaomba kila mtu atoe uzoefu wake. Jamaa katoa wake. Ulimbukeni wako unataka kujionesha wewe unajua zaidi. Sasa si ungetaja ambazo umewahi zisikia kwa watu? Huu ushamba wewe utakuwa mzaramo maana hata wasukuma hawapo hivi.
Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 10,931 Reaction score 24,816 Nov 28, 2022 #42 Prodigy Oligarchy said: Hizo kampuni zimesajiliwa wapi kaka? Na taratibu zao ni zipi. analgesic kaka vipi, mbona hujarudi kutupa majibu ya maswali yetu.?! Click to expand... Akikujibu nitag
Prodigy Oligarchy said: Hizo kampuni zimesajiliwa wapi kaka? Na taratibu zao ni zipi. analgesic kaka vipi, mbona hujarudi kutupa majibu ya maswali yetu.?! Click to expand... Akikujibu nitag
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 Nov 29, 2022 #43 kaburungu said: Mimi ukiniambia Befoward na Autocom nachagua Autocom hii kampuni chuma zao zimenyooka sana chief inspection report zao hazina kona kama kina mwafulani Click to expand... Ni kweli kabisa, umesema sawa sawia kabisa.
kaburungu said: Mimi ukiniambia Befoward na Autocom nachagua Autocom hii kampuni chuma zao zimenyooka sana chief inspection report zao hazina kona kama kina mwafulani Click to expand... Ni kweli kabisa, umesema sawa sawia kabisa.