Je, kampuni za simu zinaruhusiwa kudukua mawasiliano ya wateja wao?

Je, kampuni za simu zinaruhusiwa kudukua mawasiliano ya wateja wao?

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Leo nimetulia na kuichunguza simu yangu kwa kukagua kama nimekuwa hacked kama mawasiliano yangu yanasikilizwa ninapopigiwa simu na sipatikani au kuwa busy au kutopokea kabisa kwa kubonyeza *#004# na nimegundua kampuni ya tigo imehack namba yangu tigo na voda hawajafanya ivyo

Swali langu: Je ni haki yao kufanya ivyo au ni kinyume?
Screenshot_20221230-143115.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221230-143157.jpg
    Screenshot_20221230-143157.jpg
    56.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221230-142848.jpg
    Screenshot_20221230-142848.jpg
    55.9 KB · Views: 9
Back
Top Bottom