RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Leo nimetulia na kuichunguza simu yangu kwa kukagua kama nimekuwa hacked kama mawasiliano yangu yanasikilizwa ninapopigiwa simu na sipatikani au kuwa busy au kutopokea kabisa kwa kubonyeza *#004# na nimegundua kampuni ya tigo imehack namba yangu tigo na voda hawajafanya ivyo
Swali langu: Je ni haki yao kufanya ivyo au ni kinyume?
Swali langu: Je ni haki yao kufanya ivyo au ni kinyume?