Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu inaleta ubaguzi na mgawanyiko makanisani, hiyo timu hujiona na kujisikia imetwaa ufalme wa Mungu tayari na kuwadharau wasio praisePraise and worship teams, imekuwa sehemu muhimu ya ibada katika makanisa mengi. Hata hivyo, kwa baadhi ya waumini, makundi haya yamekuwa chanzo cha kero na mzozo ndani ya kanisa. Wengine wanadai kuwa Praise and Worship ni sehemu mbaya zaidi ndani ya kanisa.
hilo kanisa halina upako, linaendeshwa kwa akili za kibinadamuHapa naona ni mada ya kilokole huko kwa kina MWA... +Manabii na mitum haya mambo kwenye kanisa moja, katoliki na la mitume sijawahi yaona wala kuyasikia.
huwezi kujua kama huabudu muleMiziki ya mbinguni ni upi ambayo inatakiwa kuimbwa makanisani?
una roho ya uzinzimiaka ya nyuma nilikuwaga mwalimu wa kwaya mazee dahhh...watotoz wa kwaya watamuuu jmn achaaa , asikwabiee mtuu....wamenikojoza mnooo
kuna makanisa ya uchochoroni? Mbona huko unakosali kuna vikundi vya faragha maarufu kama fellowship husemi kitu?Unaongelea Makanisa ya uchochoroni
hapo ndipo hunishangaza, wanapataje ujasiri wa kuabudisha bila dhamiri zao kuwahukumu huku wanajua kabisa wananyanduana?Ni mojawapo ya kundi liloharibika sana kwa kuzini wao kwa wao.
Hapo kanisani kwenu kiongozi ni ngedere?hilo kanisa halina upako, linaendeshwa kwa akili za kibinadamu
Kwani siku hizi kuna ibada..? ma pastor wanawatafuna, walimu wao wanawatafuna, hapo sijataja wapiga vyombo (musicians) na hili naongelea kwa uhakikahapo ndipo hunishangaza, wanapataje ujasiri wa kuabudisha bila dhamiri zao kuwahukumu huku wanajua kabisa wananyanduana?
ni mambo yaliyoingizwa na wehu fulani humo wanakwaya wakayafuatishaMiye japo sio Mkristo nafurahia copy za Ndombolo za JB Mpiana, Koffi Olomide, na Fally Ipupa zinazopigwa makanisani na mauno ya wanakwaya.
Bishop katunzi kuna siku aliwahi huwateremsha pale madhabauni
Muache kutafunana sasa,Mimi kama mpiga guitar mahiri na kijana wa kisasa niseme tu Wana Kwaya wa Jadi wakati wenu umepita ...tutawavumilia kama sehemu ya historia ya wapi kanisa limetoka ila kwa sasa Praise and Worship team ni uti wa Mgongo vinginevyo kanisani mtabakia wazee wenyewe...
Mtuache tufanye mambo kwa nyakati zetu.