Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Mambo ya kigeni ni yapi na yazamani ni yapi, mlokole ukimwambia kunywa mlonge anakuambia ni ulozi anataka dawa za kisasa huyo huyo badae ukiimba nyimbo za kina kirk Franklin anakuambia unafokafoka kanisani 😃😃, walokole tafuteni kichaka kinginetatizo mnaingiza mambo ya kigeni ambayo huko nyuma ilikuwa ni dhambi