Je, kansa ya koo inatibika? Nipo njia panda

Je, kansa ya koo inatibika? Nipo njia panda

unamaanisha hizi tiba za kisuna?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilichomaanisha mkuu iwe hizo za kisunna au kuna watu wanajua tiba za asili na mtu anapona au kupata nafuu kubwa sana ila sikushauri utumie tiba za kemikali sijawahi kuona matokeo mazuri zaidi ya wagonjwa kuzorota na mwisho kufa mapema tofauti na dawa hizi za asili kama uhai bado upo kwa mgonjwa ataendelea vzr kabisa,na usisite kila usikiapo dawa mpe mgonjwa mhm kupona.
 
Kapime hospital nyingine. Majibua yakirudi Kansa. Msidanganywe na watu kuhusu TIBA
 
Habari wanaJamiiForums,

Nimepata changamoto kwa mzazi wangu kwa kusumbuliwa na uvimbe katika koo na tulivyoenda hospitali ya taifa Muhimbili alifanyiwa kipimo kinachoitwa (OGD) ni kipimo hatara sana kama una moyo mdogo unaweza ukakimbia maana unasokomezwa limpira mdomoni hadi kwenye koo, baada ya kupata kipimo hicho cha OGD tulirudi nyumbani hadi majuzi tulipoenda tena hospitali kupata majibu ya vipimo na ndipo tulipoambiwa kuwa kuna tatizo la kansa kwenye koo.

Sasa basi, kitu nisichoelewa: je, kansa ya kwenye koo inatibika kwa njia ya upasuaji au kwa kupewa dawa au kwa mionzi? maana huku katika familia watu tuna hofu juu ya kutibika kwa kansa ya koo huku wengine wakisema kupona kansa ya koo ni mtihani.

Ushauri wenu jamani kuhusu ili tatizo la kansa ya koo kutibika au lah.

Sent from my iPhone using JamiiForums

Kimbi kabisa huko hopsitali, Historia inaonyesha walio jaribu kutibu kansa walikufa mapema kuliko waliokoma anayo kwa tiba zingine au kuiiacha tu, hasa kw azile kansa ambzo zishachelewa, unless labda iwe ni mapema sana mmeiwahi.
 
Habari wanaJamiiForums,

Nimepata changamoto kwa mzazi wangu kwa kusumbuliwa na uvimbe katika koo na tulivyoenda hospitali ya taifa Muhimbili alifanyiwa kipimo kinachoitwa (OGD) ni kipimo hatara sana kama una moyo mdogo unaweza ukakimbia maana unasokomezwa limpira mdomoni hadi kwenye koo, baada ya kupata kipimo hicho cha OGD tulirudi nyumbani hadi majuzi tulipoenda tena hospitali kupata majibu ya vipimo na ndipo tulipoambiwa kuwa kuna tatizo la kansa kwenye koo.

Sasa basi, kitu nisichoelewa: je, kansa ya kwenye koo inatibika kwa njia ya upasuaji au kwa kupewa dawa au kwa mionzi? maana huku katika familia watu tuna hofu juu ya kutibika kwa kansa ya koo huku wengine wakisema kupona kansa ya koo ni mtihani.

Ushauri wenu jamani kuhusu ili tatizo la kansa ya koo kutibika au lah.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mtu nilishuhudia alipona kansa / saratani hii ya koo yupo mzima buheri na nilimshauri kuacha vyakula vya wanga, sukari na nyama, na uzuri alikuja kipindi akiwa hawezi kula kitu kizito zaidi ya kimiminika ndio maana alikubali masharti niliyompa. Kingine nilimwambia wazi uji wa mahindi huo ungemwongezea uvimbe nilimpa ushahidi wa vitabu kama youth instructor, ministry of healing na vyakula vya kutumia na dawa na hatimaye baada ya miezi mitatu na nusu koo likafunguka vizuri
 
Kuna mtu nilishuhudia alipona kansa / saratani hii ya koo yupo mzima buheri na nilimshauri kuacha vyakula vya wanga, sukari na nyama, na uzuri alikuja kipindi akiwa hawezi kula kitu kizito zaidi ya kimiminika ndio maana alikubali masharti niliyompa. Kingine nilimwambia wazi uji wa mahindi huo ungemwongezea uvimbe nilimpa ushahidi wa vitabu kama youth instructor, ministry of healing na vyakula vya kutumia na dawa na hatimaye baada ya miezi mitatu na nusu koo likafunguka vizuri
ni tiba ipi alitumia,hospital au mitishamba.
 
Habari wanaJamiiForums,

Nimepata changamoto kwa mzazi wangu kwa kusumbuliwa na uvimbe katika koo na tulivyoenda hospitali ya taifa Muhimbili alifanyiwa kipimo kinachoitwa (OGD) ni kipimo hatara sana kama una moyo mdogo unaweza ukakimbia maana unasokomezwa limpira mdomoni hadi kwenye koo, baada ya kupata kipimo hicho cha OGD tulirudi nyumbani hadi majuzi tulipoenda tena hospitali kupata majibu ya vipimo na ndipo tulipoambiwa kuwa kuna tatizo la kansa kwenye koo.

Sasa basi, kitu nisichoelewa: je, kansa ya kwenye koo inatibika kwa njia ya upasuaji au kwa kupewa dawa au kwa mionzi? maana huku katika familia watu tuna hofu juu ya kutibika kwa kansa ya koo huku wengine wakisema kupona kansa ya koo ni mtihani.

Ushauri wenu jamani kuhusu ili tatizo la kansa ya koo kutibika au lah.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Cancer yoyote ile haitibiki.
 
Habari wanaJamiiForums,

Nimepata changamoto kwa mzazi wangu kwa kusumbuliwa na uvimbe katika koo na tulivyoenda hospitali ya taifa Muhimbili alifanyiwa kipimo kinachoitwa (OGD) ni kipimo hatara sana kama una moyo mdogo unaweza ukakimbia maana unasokomezwa limpira mdomoni hadi kwenye koo, baada ya kupata kipimo hicho cha OGD tulirudi nyumbani hadi majuzi tulipoenda tena hospitali kupata majibu ya vipimo na ndipo tulipoambiwa kuwa kuna tatizo la kansa kwenye koo.

Sasa basi, kitu nisichoelewa: je, kansa ya kwenye koo inatibika kwa njia ya upasuaji au kwa kupewa dawa au kwa mionzi? maana huku katika familia watu tuna hofu juu ya kutibika kwa kansa ya koo huku wengine wakisema kupona kansa ya koo ni mtihani.

Ushauri wenu jamani kuhusu ili tatizo la kansa ya koo kutibika au lah.

Sent from my iPhone using JamiiForums
khamis kilo tupe mrejesho, vipi ulipata tiba na hali ya mzazi ikoje kwa sasa ?
 
Habari wanaJamiiForums,

Nimepata changamoto kwa mzazi wangu kwa kusumbuliwa na uvimbe katika koo na tulivyoenda hospitali ya taifa Muhimbili alifanyiwa kipimo kinachoitwa (OGD) ni kipimo hatara sana kama una moyo mdogo unaweza ukakimbia maana unasokomezwa limpira mdomoni hadi kwenye koo, baada ya kupata kipimo hicho cha OGD tulirudi nyumbani hadi majuzi tulipoenda tena hospitali kupata majibu ya vipimo na ndipo tulipoambiwa kuwa kuna tatizo la kansa kwenye koo.

Sasa basi, kitu nisichoelewa: je, kansa ya kwenye koo inatibika kwa njia ya upasuaji au kwa kupewa dawa au kwa mionzi? maana huku katika familia watu tuna hofu juu ya kutibika kwa kansa ya koo huku wengine wakisema kupona kansa ya koo ni mtihani.

Ushauri wenu jamani kuhusu ili tatizo la kansa ya koo kutibika au lah.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kuna feedback yoyote positive?
 
Back
Top Bottom