FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mfano karakana ya kawaida tu kama hiyo iliyopo kwenye video hapo, naweza kuikamilisha na ikaanza uzalishaji kwa milioni 50? Na je, wataalam kutoka VETA wapo nioweza kuwajiri na wakafanya huu uzalishaji? Na je, kuhusu soko, Tanesco bado wana sera ya kununua bidhaa za ndani kwanza kabla ya vya nje au wananunua tu kwa kutangaza tenda?
====================
Ila Tanesco miwe na aibu muda mwingine, tutaanza kuweka adhabu ya kunyonga sasa
====================
Ila Tanesco miwe na aibu muda mwingine, tutaanza kuweka adhabu ya kunyonga sasa