Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Utakuja kuelewa mbeleni; that was just a hint.
 
Ibara ya 71(1)(e) haina utata wowowte we kilaza. Ipo plaina and clear. Kilaza kama wewe ndio unahangaika,mpuuzi wewe unatakiwa uvae pampasi
 
Nilikuwa offline nimechelewa kuona andiko lako. Katiba katika nchi ya ki Africa especially Tanganyika ?!. Kwani mhula uliopita walipokuwa wanatunga sheria ya kutoshtakiwa ulikuwa ughaibuni ?!. Ndiyo madhara ya kuwa na wabunge wa chama kimoja kwa uwingi bungeni
 
Ahaaaa jaduong mbona unataka kuzalisha mada zingine? Kwani ile sheria inazuia wasishitakiwe? Au unawashitaki kupitia kwa Ag?
 
U
Ahaaaa jaduong mbona unataka kuzalisha mada zingine? Kwani ile sheria inazuia wasishitakiwe? Au unawashitaki kupitia kwa Ag?
Jaribu tu hata ktk sakata hili huwezi kumfanya chochote . Not only Spika , na wale wengine unaowafahamu.

Mmeiharibu sana nchi yetu . Ona sasa mmepora kura majimboni, mnakuja kugundua kuwa mambo hayaendi bila upinzani bungeni !!. Na sasa mnalazimisha mliowakataa majimboni waingie kwa gharama zozote.
 
Chagu kumbe upo vizuri namna hii? Sasa kipindi chote kwanini ulikuwa unaitesa nafsi yako aisee
 
Nimekuambia zaidi ya mara moja kuwa hayo mambo nimeona kwa macho yangu. Achia mbali wakala watatu wa upinzani waliozuiwa kuingia vituoni.
Sometimes mnaokota mawakala hawakidhi vigezo, ndio maana mnapoteza.
 
Jaduong kwenye hili hata Spika anajua amepotoka, huwezi kukanyaga katiba wazi namna hii. Ndio maana akina Halima wameona aibu.

Hayo mengine Jaduong ni malalamiko tu ambayo hayana ushahidi.
 
Kama ipi? Zaidi ya hii aibu ya spika kuforce king?
Ulitoa maoni gani kipindi cha sakata la mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kutoruhusiwa kukagua baadhi ya maeneo?
Au ile Tsh trillions 1.5 ambayo haijulikani ilikoenda ulitoa maoni gani?
Kipindi cha uchaguzi tuliona pia baadhi ya wagombea waliotoa changamoto kubwa wakishushiwa rungu la kustopishwa kupiga kampeni kwa makosa ambayo chama tawala kiliyatenda na kuvuka mipaka? Mambo ni mengi muda hautoshi
 
Nitoe maoni gani kwa ishu ya CAG ambayo bunge ilipatiwa majibu na PAC? Hilo la wagombea ni juu ya Chada kusema kweli, ilikuwa na wagombea wabovu ndio maana walienguliwa.
 
Katiba inayoongoza nchi kwa sasa ni ya CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…