Je, katika Hafla ya Jana Rufiji Wajane wa Nyerere, Mkapa na Magufuli nao walikuwepo?

Je, katika Hafla ya Jana Rufiji Wajane wa Nyerere, Mkapa na Magufuli nao walikuwepo?

Mtukutu uliyetukuka umeadimika sana jukwaani, haijulikani kama ulikula ban au vipi. Wale wajane hawakuonekana kwenye hafla hiyo, ya nini kuhudhuria kisha wanangwenangwe kwa maneno ya shombo toka kwa wazee wasio na busara na hekima ya kuongea? Bora wawe wanabaki nyumbani kuliko kwenda kusikiliza mafumbo shombo juu ya waume zao walivyotawala kisha kutwaaliwa na muumba wao
 
At least umerudi tupate nyuzi nzuri nzuri zinazoeleweka
Asante Kiongozi ila huku Kunipenda, Kunikubali na Kunisifia Kwenu hapa ndipo kunafanya wenye Chuki nami na Wivu wa Umaarufu wangu mkubwa na Nyota yangu Kali kuzidi Kuumia na Kuteseka.

Nashangaa baada ya hii Post yako hujaambiwa kuwa Wewe ni Mimi GENTAMYCINE kwani Mimi ndiyo nahusishwa na IDs zote zinazonisifia ila zile zinazonichafua kamwe sihusishwi nazo.
 
I am glad that you are back mr mult - talented genius & charismatic GENTAMYCINE .
Asante Kiongozi ila huku Kunipenda, Kunikubali na Kunisifia Kwenu hapa ndipo kunafanya wenye Chuki nami na Wivu wa Umaarufu wangu mkubwa na Nyota yangu Kali kuzidi Kuumia na Kuteseka.

Nashangaa baada ya hii Post yako hujaambiwa kuwa Wewe ni Mimi GENTAMYCINE kwani Mimi ndiyo nahusishwa na IDs zote zinazonisifia ila zile zinazonichafua kamwe sihusishwi nazo.
 
GENTA kama GENTAMYCINE dawa ya kumaliza matatizo ya mwili na roho plus ma politikisi. Karibu kilingeni, endelea kukata mauno feni mganga wetu mkuu
 
Back
Top Bottom