Uchaguzi 2020 Je, kauli hizi za 'Tamaa ya Madaraka na kutomtuma mtu kugombea' alizotoa Rais Magufuli ni dongo kwa Makonda na Gambo?

Uchaguzi 2020 Je, kauli hizi za 'Tamaa ya Madaraka na kutomtuma mtu kugombea' alizotoa Rais Magufuli ni dongo kwa Makonda na Gambo?

Makonda mtu makini sana na atafika mbali kwa sababu hayumbishwi na watu na anajua kusimamia cheo chake japo kila mtu anamapungufu yake ila yeye ni maana halisi ya kiongozi.
 
Kweli Magu Hana uswahili... Lile jitu la bara uswahili wa pwani Halina lenyewe linakupa raw and unsugarcoated.

Makonda atapata tabu saana.
Kuna mkutano kule Tarime Heche alimpa Magu makavu kulikua hakuna kuremba,Magu akaishia tu kusema wewe Heche usinijibu hivyo mimi wewe ni sawa na mwanangu,hahah

Nikajua yeye akipewa ile kitu unsugarcotted anapanik balaa.
 
Huenda System imetumia mbinu za medani kumtenganisha Rais na Makonda kama walivyofanya kwa Jakaya na Rostam

Wamemjaza Makonda akajaa kwa kuambiwa anapendwa sana Kigambon japo pia Wanasiasa ni wasanii kuliko kina Shilole, huenda hajamtuma ila kaibariki safari
 
Hilo la unafiki bora unyamaze tu, ulimsikia hivi kaubuni alivosimama kilosa morogoro ukiwahutubia wananchi?
Kwani mskuma ni bashite tu peke yake kwenye serikali? Magufuli licha ya mapungufu yake mengine lakini pia Hana unafiki.
 
Naamini habari ya Makonda itakamilika na kuthibitika mwisho wa uchaguzi. Kabla ya hapo ni kupiga ramli tu.

Huyu ni mtu anayebakia kuwa fumbo (mystery) kubwa sana kwetu wengi. Hao wote waliohusika na kumuibua huko alikokuwa hadi kumfikisha hapa alipo ndio wenye siri ya mchezo wao. Kauli za rejareja zinazotolewa si za kutilia maanani sana.
 
Ningeshangaa kama mwenyekiti wachama angesema kawatuma Watu wakagombe. Angekua mwenyekiti wa ajabu kutokea. Hili ni kuwapa nafasi sawa watia nia ingawa Hawana nafasi sawa.
 
Nimesema jana hapa Makonda byebyee...
 
Wacha tungoje tuone. Nchi hii ina maajabu mengi. Let's not jump to conclusion. In the long run I am sure he knows what he is doing, hajakurupuka
ukimkagua sana bata huwezi kumlaaaa..tulijadiligi miaka Fulani hapa swala la lowasa kwenda ukawa lakini sasahivi huyhuyo lowasa anamsifia magufuli la msingi kwenye maisha ni MUDA ndo utakwambia hapa kweli au uongo

ukitaka kujua kuwa leo uko sahihi au hauko sahihi kwa unachokifanya acha muda uongee...baada ya miaka 5 utajua kuwa kumbe pale nilikuwa nakosea ila kwa muda ule sikujuwa kama nakosea
 
alafu swala la kusema viongozi vijana pia sie kama vijana tunalitafsiri vibaya sana swala hili...ndomaana rais akasema vijana achenio uroho...unaweza kupita kwenye sanduku la maoni lakini nikakukata
 
Waswahili wana msemo wao,waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba.Usishangae Bashi boy waziri wa sanaa na utamaduni.
 
Sanaaa na wasanii, acha tuendelee kuangalia maigizo
 
Huenda System imetumia mbinu za medani kumtenganisha Rais na Makonda kama walivyofanya kwa Jakaya na Rostam

Wamemjaza Makonda akajaa kwa kuambiwa anapendwa sana Kigambon japo pia Wanasiasa ni wasanii kuliko kina Shilole
Exist strategy.
 
Nimesema jana hapa Makonda byebyee...

Uwezo wa kufikiri ukiwa mdogo madhara yke huwa makubwa sana.

Note:
Makonda ni mbunge mtarajiwa kigamboni.
Na niwaziri wa mtarajiwa.

Tukutane hapa baada ya tar..20 jly
 
Naona Kaka Gambo naye ni Wa mwaka '82
Screenshot_20200716-130129.jpg
 
Mh. Rais kasema kweliiii 100% kuwa vijana hawaridhiki, hasa waliozaliwa kuanzia 1982, na kasema hajamtuma mtu kugombea, na kwanini akutume, kama anakuhitaji si angekuteua tu ktk viti vyake 10 vya ubunge, hii anasema wazi hao vijana hata wakipata ubunge ni ngumu sana kuwapa uwaziri au unaibu waziri, sbb anasema tamaa ni mbaya sana, hadi akatoa mifano ya huyu PhD holder alikaa CCM HQ kwa miaka kadhaa kwa salary ya laki 5 hadi anamteua kuwa DC. Hii message kali sana kwa vijana walioacha uRC au uDC wakaenda kugombea ubunge wakidhania watapewa uwaziri. Yaani watashangaa, Mh. Rais ni mtu muwazi sana daima. Sasa tusubiri tuone baada ya uchaguzi nini kitaendelea.
 
Back
Top Bottom