Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari.Vipi yule msemaji wao mwanadada yule kaahidi nini tena iwapo timu yake itafungwa?
Kmc 0-2 Tabora FTMatokeo yalikuaje?
Km alivyoahidi Jane Lowassa kuvua ChupiVipi yule msemaji wao mwanadada yule kaahidi nini tena iwapo timu yake itafungwa?
Wamewasha turbo tactical zao sio mchezo magoli yote ya kuwazidi mabeki wa Kmc uwezo la kwanza beki kabewa kidari kayumbaTabora wasipoteane tu hivi karibuni
Kwisha habari yakeKmc 0-2 Tabora FT
huwa wanaahidi mambo makubwa na ya ajabu, hata hivyo timu yao hushina na kuwaepusha wasitekeleze walichoahidiKm alivyoahidi Jane Lowassa kuvua Chupi
Mada za Siasa ahahaHizi ndizo mada wabongo tunazoweza kuzijadili
Ova
Ila Tabora Utd wa moto acha.Tabora imecheza na Yanga , kocha wao Gamond akafukuzwa, kisha ikacheza na Singida Black Stars , nao wakamfukuza kocha wao.
Sasa kesho 29/11/2024, ni zamu ya KMC. Swali ni je, kocha wa KMC atapona kipigo cha Tabora na kuepuka kufukuzwa kazi?
Mijadala ya siasa inachosha akili tu. Watu wanajadili sana siass huko space, lkn mwisho wa siku ccm wanabaka uchaguzi, na hakuna cha kuwafanya.Mada za Siasa ahaha
Moto ni uleule.. Nyuki hakumbatiwiTabora imecheza na Yanga , kocha wao Gamond akafukuzwa, kisha ikacheza na Singida Black Stars , nao wakamfukuza kocha wao.
Sasa kesho 29/11/2024, ni zamu ya KMC. Swali ni je, kocha wa KMC atapona kipigo cha Tabora na kuepuka kufukuzwa kazi?
KMC 0-2 NyukiMatokeo yalikuaje?
Hawa Tabora watawadhalilisha sana wakubwa msimu huu.Moto ni uleule.. Nyuki hakumbatiwi