OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Bora sisi tulicheza nao kabla kina Makambo hawajapata vibali.Hawa Tabora watawadhalilisha sana wakubwa msimu huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora sisi tulicheza nao kabla kina Makambo hawajapata vibali.Hawa Tabora watawadhalilisha sana wakubwa msimu huu.
Hivi sasa miguu yao ni kama Ina macho na usumaku, kila wakigusa mpira unatikisa nyavu.Bora sisi tulicheza nao kabla kina Makambo hawajapata vibali.
Kuoga je! ahhhMada za Siasa ahaha
Msichokijua hata hao wa space wakipewa hzo dhamana ima watatawaliwa na udini Uganda au ukabila usisahau kunyanyua mabela na wizi tunaaona humu maofisini au hao waliospace ni zao la wazaz wao walioibia na kuifukkarisha nchi tunapokuja kuamua yupi ni bora mara mia 4 CCM ni bora tulupe mfano kuna muda Mboe alimuattack Samia not as presient bt kaaaama ssamia kwa uanamke au Uganda anaotoka hii si dalili nzur kwa matured experienced as well as talented kuattack personal issues kaliba ya mboe au lissu so hii watu waliingia hofu kama hawa watu tukiwafikiria hatakuwakaribish ikulu ni haatari kwa mustakbal wa taifa letu so ccm imechokwa sasa nani ttumkabidhi paleMijadala ya siasa inachosha akili tu. Watu wanajadili sana siass huko space, lkn mwisho wa siku ccm wanabaka uchaguzi, na hakuna cha kuwafanya.
Si bora tujadili mpira ambao tunaona hatua zinachukuliwa, makocha wanafukuzwa?
Sisi hatuko huko, hivi sasa tunasubiri mechi za CAF champions & confederation tarehe 7 na 8. Mambo ni moto!!Kuoga je! ahhh
Msichokijua hata hao wa space wakipewa hzo dhamana ima watatawaliwa na udini Uganda au ukabila usisahau kunyanyua mabela na wizi tunaaona humu maofisini au hao waliospace ni zao la wazaz wao walioibia na kuifukkarisha nchi tunapokuja kuamua yupi ni bora mara mia 4 CCM ni bora tulupe mfano kuna muda Mboe alimuattack Samia not as presient bt kaaaama ssamia kwa uanamke au Uganda anaotoka hii si dalili nzur kwa matured experienced as well as talented kuattack personal issues kaliba ya mboe au lissu so hii watu waliingia hofu kama hawa watu tukiwafikiria hatakuwakaribish ikulu ni haatari kwa mustakbal wa taifa letu so ccm imechokwa sasa nani ttumkabidhi pale