Inasikitisha kuwa badala ya kujibu au kushauri anatuma matusi au jibu/ushauri nje ya hoja.Asante sana kwa majibu yenu. Nimeshaelewa. Japo kuna mmama kanitusi kuniambia uelewa wangu ni mdogo, naye namshukuru, maana nimemuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha kuwa badala ya kujibu au kushauri anatuma matusi au jibu/ushauri nje ya hoja.Asante sana kwa majibu yenu. Nimeshaelewa. Japo kuna mmama kanitusi kuniambia uelewa wangu ni mdogo, naye namshukuru, maana nimemuelewa
Ndio maana yake au ulitaka upewe wewe?Naomba nifahamishwe hili la KESI ya MBOWE kufutwa, au DPP kutokuwa interest na KESI, Swali langu ni Je Vielelezo navidhibiti vyote vitarudishwa Kwa wenyewe? Kama vitarudishwa. Je AKINA Bwire watarudishiwa Madawa Yao ya kulevia na Bastola Yao?
Kisheria limekaaje hili.
Una maana Mbowe akimtukana mtu Dpp ataifufua kesi ya Ugaidi?Hii kesi hajaisha, bali iko muted tu, Kama Mbowe ataendelea na Ukorofi wake, DPP huyo huyo atairudisha kesi hiyo hiyo Mahakamani! Nenda kasome kitabu kimoja kinaitwa "The Power of DPP in Court'!! Majibu na Maswali yako yote yako humo!!
Menopause!Uko chini sana kwenye uelewa.
Muulize hata mtoto mdogo hapo mtaani kwako atakujibu.
Tuma salamuMenopause!