Je, kesi ikifutwa, Vielekezo navidhibiti vyote vinarudishwa Kwa wenyewe?

Asante sana kwa majibu yenu. Nimeshaelewa. Japo kuna mmama kanitusi kuniambia uelewa wangu ni mdogo, naye namshukuru, maana nimemuelewa
Inasikitisha kuwa badala ya kujibu au kushauri anatuma matusi au jibu/ushauri nje ya hoja.
 
Ndio maana yake au ulitaka upewe wewe?
 
Hii kesi hajaisha, bali iko muted tu, Kama Mbowe ataendelea na Ukorofi wake, DPP huyo huyo atairudisha kesi hiyo hiyo Mahakamani! Nenda kasome kitabu kimoja kinaitwa "The Power of DPP in Court'!! Majibu na Maswali yako yote yako humo!!
Una maana Mbowe akimtukana mtu Dpp ataifufua kesi ya Ugaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…