Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa.
Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.
Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta
Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake Twente Twente Five
Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka zile panguapangua kwenye ofisi za kilindi cha wavaa suti kwenye nchi ya wadanganyika hadi mnene wao kutoka mji wa wala migebuka kuweka pembeni au vipi)?.
Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.
Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?
Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.
Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta
Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake Twente Twente Five
Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka zile panguapangua kwenye ofisi za kilindi cha wavaa suti kwenye nchi ya wadanganyika hadi mnene wao kutoka mji wa wala migebuka kuweka pembeni au vipi)?.
Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.
Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?