Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa.

Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.

Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta

Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake Twente Twente Five

Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka zile panguapangua kwenye ofisi za kilindi cha wavaa suti kwenye nchi ya wadanganyika hadi mnene wao kutoka mji wa wala migebuka kuweka pembeni au vipi)?.

Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.

Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?
 
Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa.

Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.

Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta

Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake

Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka ile panguapangua kwenye nchi ya wadanganyika au vipi)?.

Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.

Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?
Mimi sijui ila kuhusu "inshu"!🤔🤔
 
Seen!!
Mbobezi aliondoka kizembe sana mjue!

Mi nilisikia humu eti ni Ile kauli ya Mr Tabasam ya kusema labda mambo yaharibike sana ndio ilimuondoa kwamba angekua VP halafu kabla ya mwaka kukata angeapishwa kuwa ndie!

Jasusi alikuwa mtu fresh sana. Waliomrestisha walikosea sana kwa kweli.
 
Wasingetangaza kumuweka benchi mapema hivi huku akiendelea kula ving'ora hadi July!

Likitokea la kutokea kabla ya July ndiyo tutajua kama kweli kachoka kaomba kupumzika au ni figisu kama za John Bocco na Simba SC.
 
Wasingetangaza kumuweka benchi mapema hivi huku akiendelea kula ving'ora hadi July!

Likitokea la kutokea kabla ya July ndiyo tutajua kama kweli kaomba kupumzika au ni figisu kama za John Bocco na Simba SC.
Likitokea la kutokea mla migebuka si ndo anakuwa Don?
Halafu anaanza term with a clean sheet mpaka 2035😂
 
Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa.

Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.

Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta

Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake Twente Twente Five

Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka zile panguapangua kwenye ofisi za kilindi cha wavaa suti kwenye nchi ya wadanganyika hadi mnene wao kutoka mji wa wala migebuka kuweka pembeni au vipi)?.

Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.

Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?
Code za python , css, na javasript zimesukwa humu , Umeeleweka sana
 
Wasingetangaza kumuweka benchi mapema hivi huku akiendelea kula ving'ora hadi July!

Likitokea la kutokea kabla ya July ndiyo tutajua kama kweli kaomba kupumzika au ni figisu kama za John Bocco na Simba SC.
Babu mtoa mada hapo juu kama yuko sahihi vile,maana kuna Mwamba alinidodosa kifo cha Afsa Kipenyo Mbobezi
 
Back
Top Bottom