Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa bwana maembecode nimeipata ila jasusi mmeniacha
Yule alipigwa na misibaItakuwa bwana maembe
Eheee panazidi kuchangamkaYule alipigwa na misiba
USSR
Huyo mshika mikasi utu uzima umeingia na afya yake haiko vizuri kabla hata jiwe hajaondoka. Si ajabu yeye kuomba kupumzika au si ajabu kuonekana hawezi kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Yule alipigwa na misiba
USSR
Jasusi jasusi...! Ni membe bwana.Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa.
Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?.
Wanyetishaji wa kijiweni wakadai kuwa Jasusi kapigwa faulo moja matata kama Salum Kabunda au Roy Kean ndiyo maana kavuta
Mnyetishaji akadai hana ushahidi kama "aliyeomba kupumzika" alihusika lakini homeboy wake mmoja aliyekuwa mnene kwenye kilindi cha wavaa suti nyeusi alicheza faulo. Lengo ni kusaidia homeboy wake aendelee kuwa mshika mikasi wa kuzindua shughuli. Maana inasemekana Jasusi mbobezi angeweza kuchukua nafasi yake Twente Twente Five
Sasa Malkia wa nyuki alipopewa inshu akafumua fumua kilindi cha wavaa suti na yule aliyedhaniwa kuhusika akawekwa pembeni. (Mnakumbuka zile panguapangua kwenye ofisi za kilindi cha wavaa suti kwenye nchi ya wadanganyika hadi mnene wao kutoka mji wa wala migebuka kuweka pembeni au vipi)?.
Sasa leo mla migebuka kawekwa pembeni ili in the future asiwe mbeba mikasi ya kuzindua miradi tena. Kiufupi anaenda kula pensheni yake. Hii si kawaida maana kakaa pele kwenye kula haluwa na kiti cha kunesanesa kwa miaka minne tu.
Hii ndo kijiweni watu wananong'ona kuwa Inshu ya Jasusi mbobezi kudanja imemuweka pembeni?
MtamaJasus mbobezi aliyerest ni nani
Maembe yalio anguka, kabla ya mti wake.Jasus mbobezi aliyerest ni nani
Kama una Kumbuka, mzee wa mananasi siku ya anguko la maembe ali kuwa ame fura msibani.Jasusi mbobevu camilius membe
Usiwe mkristo kuliko waroma!Ndege mjanja siku zote hunasa kwenye tundu bobu.
Uongo!
Mseminari ameamua kupumzika kujiepusha na ghadhabu za mama yenu.