Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

Wewe umezaliwa mwaka gan kuwa babu? Physical fitness ya watu weng wenye hamsini hadi 60 inaharibika kutokana na maradhi makubwa, pia kufanya shughuli ngumu ngumu enz za ujana mkuu

2.hivi una habari kwamba Dr. Chimbi kazaliwa 1972 lakini anaonekana mzee kama Kikwete, njoo kwa olesendeka kazaliwa 1964 lakini amekata kama ana 70 years

Ila Wassira mwenye miaka 79 anafaa kuendelea na kazi au vipi?
 
Yaani unataka kuniambia kuwa Wassira awe fit na miaka yake 80 ila mla migebuka achoke wakati hana hata miaka 70?
Hata angekuwa na miaka 30 kama afya hairuhusu anapumzika. Mshika mikasi yule mpaka anateuliwa kupanga sio huyu wa sasa, tangu aumwe akapigishwa simu za kulazimisha kusema yuko fit wakati amelazwa hajawahi rudia afya yake ya awali. Kwani umesahau alipopotelea kwa kina Samsung kutibiwa mpaka watu wakahoji?

Lini umesikia Wassira kapotea nchini yuko kwenye matibabu. Na isitoshe cheo cha Wassira ni cha kupita tu na hakina impact kikiwa dormant au mwenye nacho akiwa dhaifu kwa nguvu za mwili, Kinana kaondoka cheo kimebaki wazi miezi yote hii na hamna shida.

Kwanza Wassira hakai hata miaka miwili anateuliwa mwingine. Sasa cheo cha kukata utepe huwa hakibadiliki mpaka mitano tena. Mama Abdul mwenyewe wa safari kila mara sasa anamuachaje Bwana "uliponiachia nchi niliogopa"

Mbona kila kitu kipo wazi.
 
Huyo mpango hayuko fit kwa hekaheka , post Covid-19 complications ni nyingi kwa umri wake.

Amekuwa ni wa kufanya check up mara nyingi nje ya nchi hivyo kajipumzikia kwa sababu hiyo.
 
Hivi ikitokea Samia ame rest in peace kesho au keshokutwa, Dr Philip Mpango si ndiye atakuwa Rais..?

Huyu Nchimbi atakuwa nani..?

Mbona CCM na Samia wanafanya maamuzi ambayo ni very premature..?

Kama anaendelea kuwa VP mpaka baada ya uchaguzi, kulikuwa na sababu kutangaza barua yake ya kujiuzuru wakati wameshajadiliana kuwa na yeye kukubali kuendelea..?

Wewe ni mtu mwenye akili sana.
Natamani JF ingejaa watu wenye hizi fikra.

Swali kuu ni hilo; nini mantiki ya kuelezwa kujiuzuru kwake sasa na kuambiwa nani ni mrithi wake wa baadaye ikiwa kazi itaendelea mpaka Oktoba?
Tunatengeneza mitego ya hatari mnoo kama nchi.
Hivi ikitokea hivo si ndo atasimama mwenyewe awamu inayokuja?
 
Kwa sasa hamna mambo ya wagalatia wala wa upande mwengine,,,kuna kete zimepangwa upya na kuna team inaenda kupata shida sidhani kambi ya Lowasa wataacha mambo yapite hivihivi tu
Kwani hiyo kambi bado ipo baada ya kufariki kiongozi wake?
Je hawakuunga juhudi upande wa Team mkojoni?
 
Back
Top Bottom