Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Kuna msoma nyota fulani kasema kwenye ulimwengu wa roho Yanga inaonekana kung'aa 2025 hasa kuanzia march, na timu au watu wenye kuanza na herufi S, J, A, O, na F. mwaka mgumu kwao
Asipokaa vizuri simba anabeba ,,,uzuri watu wa kamati za ufundi huko ndo haohao pia kwa upande mwengine......hizi timu kuna wahuni wanasafiria nyota pia......hii ndo 2025