Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

Yote haya ni kwasababu ya kulinda
 
Penis-we angalau ajifunze kwa bwana migebuka ni bora kuachia ngazi legacy ikabaki daima, vile vile kama alichofanya mdogo wake "heavy" kuachia uenyekiti wa zambarau party waendeleze wengine gurudumu
Penis-we = Sultan AL ASSAD
 
Hizi code mnazotembeza humu wazee mbona nyeupe kabisa kila mtu anaelewa. Jaribuni kuficha zaidi
 
Wanaukataa ukweli kuwa hakuna binadamu atakayeishi milele hata kama atalindwa kwa nukes..
Na ajabu ni kwamba imeshathibitika kwamba alikuwa anaumwa ugonjwa wa moyo tangu akiwa UDSM halafu bado watu wanaamini kifo chake lazima kimesababishwa na mtu/watu.
 
Huu mchezo hautaki haraka, ndani ya siku tisini zijazo tutaelewa picha nzima na mchezo ulivyo. Wakuda wanasema, hii ngoma bado mbichi mnoo.

Hali ni tete kila angle, lolote linaweza kutokea kwa yoyote yule.
Duh 🙄 !
Mnatutisha bhana !
Hamna kitu !
 
Ingeeleweka vipi wamtangaze mtu atakaye shikilia nafasi yake wakati yeye yupo?
Ilikuwa kutafuta uhalali kwa wanachama wao.
 
Siamini kama anaweza kufanya tukio kubwa kama hilo mnalomtuhumu nalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…