You lack HOPE, Dear Kiranga.
Hope without the support of facts is delusion, a poisoning addictive drug with a deadly anticlimax
Kama kila mtu akikata tamaa hivyo itakuwaje?
Mimi sijakata tamaa, ndiyo maana nasema vote Slaa, lakini najua Slaa hawezi kushinda. Slaa akipata 25% sitakuwa disappointed. I am a realist who is not afraid to face the cold and ugly facts. If you are sick with a certain disease hoping may give you a placbo effect, but if you are really sick no hope can cure a disease, only hard work towards eradicating that disease, seeking medical help, applying the right medicine at the right dosage and things of that nature will help you. Right now we are really sick, and not much has been done, how can you have hope? Ingekuwa hope ndiyo solution watu tusingefanya kazi, tungehope kupata mahitaji yote na tungepata. Hope si solution, hope ni part ya tatizo, badala ya watu kuihold serikali reponsible, watu wana hope serikali itakuwa responsible yenyewe.Badala ya watu kufanya kampeni (upinzani) wana hope wananchi watawaelewa etc. Migodi inaangusha madongo na kuzika watu hai, badala ya watu kusisitiza quality control na responsibility, watu wanahope haitatokea tena, ris anasema ni kazi ya mungu, in other words ana hope mungu hatatupa maafa kama haya tena.
No sir, hope is not the solution.Hope is our problem.
You argue that he won by a huge margin last time and therefore he will win agin. Non sequitur. I does not follow. Hakuna wabunge walioshinda kwa asilimia kubwa hapo nyuma na sasa hawapiti hata kwenye primaries?
Kulinganisha chaguzi za wabunge na uchaguzi wa rais baada ya mambo yote niliyoyasema kuhusu "strongman" culture yetu ndiyo kitu ninachokiona kuwa "Non sequitur" hapa. Kama unafuatilia trends za uchaguzi wa rais kutoka Mkapa kwenda Kikwete asilimia ya kura zimeongezeka. The other point kwamba machoni pa Watanzania wengi Kikwete hajafanya kitu chochote gravely outrageous kama kum shoot mtu mchana kweupe kitakacho warrant a 30% tumble is not addressed. Hizi scandals zote na mabaya yote ya Kikwete less than 5% of the population know, of which half are Kikwete client's, the other 2.5% probably half of them won't even vote, they are out of the country or wont see the point. That is the unscientific guesstimation, a rather generous one if I might add. Wengine hao largely ni mali ya CCM, ukiacha wale wachache wtakaofanya "ana ana ana doo" na kuangukia upinzani by chance.I would be surprised kama upinzani ukipata 35% jumla. And I am being overly generous here too. Time will tell, let us revisit this thread after the election.
Kuhusu wizi wa kura, nikukumbushe kesi dhidi ya ushindi wa Ubunge wa Slaa. Unaikumbuka? Ulitolewa ushahidi mahakamani kwamba viongozi wa CCM walipita wakibadilisha matokeo ya kura zilizohesabiwa. Yaani idadi kama ya kura 170 kwenye kituo inabadilshwa kuwa 1700. Ndio maana kwenye vituo vingine idadi ya kura za CCM huzidi hata idadi ya waliojiandikisha.
Sijakataa wizi wa kura umetokea, hili nimeweka wazi tu hapo juu. Nilichosema ni kwamba, if the opposition people are sane at all, wizi wa kura uchaguzi huu utakuwa mgumu zaidi kwa sababu ya a simple issue of entopy, CCM wanavyozidi kuiba ndivyo wapinzani wanavyozidi kutakiwa kujua mbinu zao na kuzi block. Of course there is always the chance kwamba upinzani uko too slow na utaendelea kuruhusu CCM kuendelea kuiba kura, hapo wataweza kuni prove wrong. Na kwa kiasi kikubwa wizi wa kura ni crucial kwenye ubunge. Kama alivyosema Mwanafalsafa hapo juu, kuiba kura mpaka mtu ufikishe 80% kutoka under 50% is a bit of a stretch. Kuiba kura wakati kinachohitajika ni simple majority hakuleti mantiki, labda uwe na zealous partisans wanaoutaka ushindi wa "tsunami" tu, ambapo hapo issue inabadilika kutoka kuiba kura ili kubadili matokeo au sommersaults za kuremba ushindi zaidi (nevertheless nakemea wizi wa aina yoyote).
CCM haikuiba kura Zanzibar?
Nimesema hili hapo juu, sasa sijui hili ni rhetoric question?
Inafanya hivyo karibu chaguzi zote.
Right, lakini hapa tuna focus uchaguzi wa rais, like the last won Kikwete won by 80%, unataka kutuambia kaiba 30% ?
Uliza mitaani, utaambiwa watu walivyoona wenyewe masanduku yakitoroshwa na kujazwa kura za mgombea.
Mimi siulizi mitaani habari kama hizi, nikikaa na wakurugenzi wa usalama wa taifa wenyewe wanasema. Kwa hiyo this is not news to me, however, the discussion was about Kikwete na uchaguzi wa rais. Ambao najua hata kama kuna wizi huo wa kutaka kuremba ushindi, hauwezi kufikia 30%