Je! Kilevi kinatuweka HURU kusema hisia zetu? Ziwe Chanya au Hasi?

Chalii utanifanya niwe naweka stock kubwa nyumbani. ....kwa ajili ya wageni lakini [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Unataka ku investigate nini kwani?

Ila sio wote maana wale makonki huwa hawasumbuliwi na hali hizo. Kwa wale wakugusa once in a while inaweza kuwa shida kidogo.
 
Huyo Ke ndio akijiaminisha hayo maneno. ...unashangaa kahamisha makazi kwako. ....

Kuna vitu viwili hapo:
  1. Huyo mtu alikuwa anakupenda kweli ila hakuwa na courage, wa hivyo akishakuambia akiwa amelewa ni kama anakuwa ametua mzigo, na kesho akiwa mzima anaweza kuendelezea alipoishia
  2. Kuna yule ambaye baada ya pombe kupanda anataka service hapo hapo, asipofanikiwa kesho akiwa mzima hakwambii chochote, kama si yeye. Huyu mkwepe.
 
Utaniambia tu stash house yako mpaka safe house yako ....mwisho wa mwezi....[emoji6][emoji6][emoji6]

Mimi huwa kuna level ikifika najikuta sitaki kuongea kabisa, maana najua nitavujisha taarifa.

Lakini huwa najitahidi sana kupunguza kuongea, unless niko na mtu sina wasiwasi naye kabisa.
 
Nitazingatia maelezo yako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora unajielewa
Mimi huwa kuna level ikifika najikuta sitaki kuongea kabisa, maana najua nitavujisha taarifa.

Lakini huwa najitahidi sana kupunguza kuongea, unless niko na mtu sina wasiwasi naye kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…