Je! Kilevi kinatuweka HURU kusema hisia zetu? Ziwe Chanya au Hasi?

Je! Kilevi kinatuweka HURU kusema hisia zetu? Ziwe Chanya au Hasi?

Hii kitu hufanyika kwa siri sana. ...
Hii ni mbinu inatumika ku-extract information kutoka kwa wahalifu, mfano makundi ya kigaidi au madawa ya kulevya nk, inatumiwa zaidi na intelligence teams.

Ingawa huwezi kutumia maelezo ya mlevi mahakamani.

Kuna kitabu kinaitwa The Search For Manchurian Candidate, anasema baadhi ya team members wa makundi walikuwa wana expose information za makundi wanapokuwa wamepewa kilevi, tena kama ni bangi au pombe mnakunywa wote na CIA agent, unakuwa kama friends hivi.
 
Hii ni mbinu inatumika ku-extract information kutoka kwa wahalifu, mfano makundi ya kigaidi au madawa ya kulevya nk, inatumiwa zaidi na intelligence teams.

Ingawa huwezi kutumia maelezo ya mlevi mahakamani.

Kuna kitabu kinaitwa The Search For Manchurian Candidate, anasema baadhi ya team members wa makundi walikuwa wana expose information za makundi wanapokuwa wamepewa kilevi, tena kama ni bangi au pombe mnakunywa wote na CIA agent, unakuwa kama friends hivi.

Mkuu I was joking,sikujua hii ipo, Asante kwa ku share...
 
Mie huwa sinywi pombe isipokuw ka wine kidogo.
Basi jana kulikuwa na ka pati. Nikazidisha kipimo bana. Weee ile kwenda toi (kujiangalia kwenye kioo) nilijishangaa jinsi nilivyotoka mimacho, Kabudi cha mtt.
Sitarudia tena kuji overdose ulabu.
 
Sasa macho tu. ...ulimi ulikuwa mzito ama?
Mie huwa sinywi pombe isipokuw ka wine kidogo.
Basi jana kulikuwa na ka pati. Nikazidisha kipimo bana. Weee ile kwenda toi nilijishangaa jinsi nilivyotoka mimacho, Kabudi cha mtt.
Sitarudia tena kuji overdose ulabu.
 
Kop unajua pombe inaathiri glands zinazohusiana na hizo mishe, kwa hiyo ke aliyeko around unaweza kumshushia mistari akajiona malaika.

Kesho yake unaanza kujiuliza nilikuwa mimi kweli!
Huyo Ke ndio akijiaminisha hayo maneno. ...unashangaa kahamisha makazi kwako. ....
 
Utaniambia tu stash house yako mpaka safe house yako ....mwisho wa mwezi....[emoji6][emoji6][emoji6]
Ipo lakini siyo official na haikubaliki mahakamani, isipokuwa wanaitumia kama wamemfahamu member mmoja wanajenga naye urafiki bila yeye kuwafahamu, kwa hiyo kwenye drink ups unakuta ndo muda wa kuchota taarifa.
 
Kop unajua pombe inaathiri glands zinazohusiana na hizo mishe, kwa hiyo ke aliyeko around unaweza kumshushia mistari akajiona malaika.

Kesho yake unaanza kujiuliza nilikuwa mimi kweli!
Hahaha naelewa Kop. Na ubaya wote mkiwa under influence inakuwa shida. Mpaka uje kuwa sober unaanza kujuta maana unaweza kujikuta umeparamia sehemu ambayo kwa akili ya kawaida huwezi hata ku entertain wazo la kusemesha.
 
Back
Top Bottom