Je, kilichotokea ni mpango wa Waisrael? Wataalam wa intellijensia maoni tafadhali

Je, kilichotokea ni mpango wa Waisrael? Wataalam wa intellijensia maoni tafadhali

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani.

Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa vya kisasa, kuna hadi kambi za jeshi karibu zenye ndege na vifaa vya kisasa kabisa.

Iron Dome huwa ziko active lakini kwa jana ufanisi wake ulikuwa chini ya kiwango hasa Tel aviv hadi kusababisba uaribifu mkubwa.

Hata baada ya kuvamiwa, bado hatujaona wepesi wa kuwaondoa hao Hamas na ilikuwa mchana, Yamepita zaidi ya masaa 4 ndio operation ikaanza, tena kinyonge wanajeshi wakionyesha unprofessionalism, wakitembea makundi badala ya single line, wameuwana wenyewe kwa wenyewe etc.

Je? Ni kweli israel walijisahau au ni mchongo wametengeneza kusudi kutafuta sababu ya kuingia gaza, kama walivyofanya US september 11.

Je, Israel ilibweteka kutegemea US ambayo ilikuwa bize na superpower Ukraine.

Je Mossad imepoteza makali? Au siasa zimeingia hadi jeshini


Au ni mchonga kuacha gap makusudi ili wapate sababu. Ikumbukwe jeshi lao lina doktrine inayosema Sometimes we have to trim the weeds in gaza

karibu
 
Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani.

Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa vya kisasa, kuna hadi kambi za jeshi karibu zenye ndege na vifaa vya kisasa kabisa.

Iron Done huwa ziko active lakini kwa jana ufanisi wake ulikuwa chini ya kiwango hasa Tel aviv hadi kusababisba uaribifu mkubwa.

Hata baada ya kuvamiwa, bado hatujaona wepesi wa kuwaondoa hao Hamas na ilikuwa mchana, Yamepita zaidi ya masaa 4 ndio operation ikaanza, tena kinyonge wanajeshi wakionyesha unprofessionalism, wakitembea makundi badala ya single line, wameuwana wenyewe kwa wenyewe etc.

Je? Ni kweli israel walijisahau au ni mchongo wametengeneza kusudi kutafuta sababu ya kuingia gaza, kama walivyofanya US september 11.

Je, Israel ilibweteka kutegemea US ambayo ilikuwa bize na superpower Ukraine.

Je Mossad imepoteza makali? Au siasa zimeingia hadi jeshini


Au ni mchonga kuacha gap makusudi ili wapate sababu. Ikumbukwe jeshi lao lina doktrine inayosema Sometimes we have to trim the weeds in gaza

karibu
Ule uvamizi unafikirisha sana. Mpaka unajiuliza kwamba huenda hata viongozi wengi wa Hamas wamepandikizwa na kufanikishwa kufanya tukio lile ili ipatikane justification ya jambo ambalo litaonekana mwishoni.
 
Ule uvamizi unafikirisha sana. Mpaka unajiuliza kwamba huenda hata viongozi wengi wa Hamas wamepandikizwa na kufanikishwa kufanya tukio lile ili ipatikane justification ya jambo ambalo litaonekana mwisho.
Kuna mengi ya kujifunza maana dunia imejaa usanii. Makundi mengi ya kigaidi ni michongo ya watu.
 
Sio mbaya kuwaza tofauti..ila ukweli Israel haipo tayari kupoteza idadi ya watu wake kiasi hiko kwa sababu waje kufanya uvamizi..Vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel hawakuwa na taarifa yeyote kuhusu mashambulizi hayo.
 
Sio mbaya kuwaza tofauti..ila ukweli Israel haipo tayari kupoteza idadi ya watu wake kiasi hiko kwa sababu waje kufanya uvamizi..Vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel hawakuwa na taarifa yeyote kuhusu mashambulizi hayo.
Kuna ukweli
 
Satalite zote za USA ambazo zinachungulia dunia nakuona hadi sisimizi zishindwe kuditect,hatari naona hii itakuwa ni justification ya kuja Gaza kuwakata mabawa hamasi.
 
Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani.

Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa vya kisasa, kuna hadi kambi za jeshi karibu zenye ndege na vifaa vya kisasa kabisa.

Iron Dome huwa ziko active lakini kwa jana ufanisi wake ulikuwa chini ya kiwango hasa Tel aviv hadi kusababisba uaribifu mkubwa.

Hata baada ya kuvamiwa, bado hatujaona wepesi wa kuwaondoa hao Hamas na ilikuwa mchana, Yamepita zaidi ya masaa 4 ndio operation ikaanza, tena kinyonge wanajeshi wakionyesha unprofessionalism, wakitembea makundi badala ya single line, wameuwana wenyewe kwa wenyewe etc.

Je? Ni kweli israel walijisahau au ni mchongo wametengeneza kusudi kutafuta sababu ya kuingia gaza, kama walivyofanya US september 11.

Je, Israel ilibweteka kutegemea US ambayo ilikuwa bize na superpower Ukraine.

Je Mossad imepoteza makali? Au siasa zimeingia hadi jeshini


Au ni mchonga kuacha gap makusudi ili wapate sababu. Ikumbukwe jeshi lao lina doktrine inayosema Sometimes we have to trim the weeds in gaza

karibu
Kwa mimi ni kutokuwa na utayari ,adui akatumia mwanya huo kukuliza.
Japo najua wapalestina watakua zaidi.
Haiwezekani uruhusu watu wafe kiasi hicho eti unatafuta sababu.
Nadhani ni wakati waliowapongeza walioivamia Israel,sasa wawapomgeze Israel.
 
Sio mbaya kuwaza tofauti..ila ukweli Israel haipo tayari kupoteza idadi ya watu wake kiasi hiko kwa sababu waje kufanya uvamizi..Vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel hawakuwa na taarifa yeyote kuhusu mashambulizi hayo.
Na mimi ndio nashangaa. Yaani Waisrael wanavyojipenda hivyo dhidi ya Wapalestina halafu waharibu maisha ya watu wao kisa justification?
 
Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Kubwa ya kihistoriq ni ipi?

Hamas hawakujua hilo, tusikariri..Lets wait and see
 
Vyovyote vile ni sawa tu waachwe watwangane mpaka kizazi kimojawapo kiishe/kipotee kabisa, maana bila hivyo mgogoro hauishi.
 
Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani.

Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa vya kisasa, kuna hadi kambi za jeshi karibu zenye ndege na vifaa vya kisasa kabisa.

Iron Dome huwa ziko active lakini kwa jana ufanisi wake ulikuwa chini ya kiwango hasa Tel aviv hadi kusababisba uaribifu mkubwa.

Hata baada ya kuvamiwa, bado hatujaona wepesi wa kuwaondoa hao Hamas na ilikuwa mchana, Yamepita zaidi ya masaa 4 ndio operation ikaanza, tena kinyonge wanajeshi wakionyesha unprofessionalism, wakitembea makundi badala ya single line, wameuwana wenyewe kwa wenyewe etc.

Je? Ni kweli israel walijisahau au ni mchongo wametengeneza kusudi kutafuta sababu ya kuingia gaza, kama walivyofanya US september 11.

Je, Israel ilibweteka kutegemea US ambayo ilikuwa bize na superpower Ukraine.

Je Mossad imepoteza makali? Au siasa zimeingia hadi jeshini


Au ni mchonga kuacha gap makusudi ili wapate sababu. Ikumbukwe jeshi lao lina doktrine inayosema Sometimes we have to trim the weeds in gaza

karibu
Mi hichi kitu nimekisema kuna mtu kaniambia nina kariri mi mpaka kesho siamin eti ni la bahat mbaya. Hii ni inside job kwa malengo maalumu na waarabu wamejaa bila kujua. Sasa wamewapa jamaa sababu ya kuichukua gaza mazima. Nimemsikia intelligence officer mmoja anasema sasa ni muda wa kumalizana na Hamas one's and for all
 
Back
Top Bottom