Je, kilichotokea ni mpango wa Waisrael? Wataalam wa intellijensia maoni tafadhali

Je, kilichotokea ni mpango wa Waisrael? Wataalam wa intellijensia maoni tafadhali

Mi hichi kitu nimekisema kuna mtu kaniambia nina kariri mi mpaka kesho siamin eti ni la bahat mbaya. Hii ni inside job kwa malengo maalumu na waarabu wamejaa bila kujua. Sasa wamewapa jamaa sababu ya kuichukua gaza mazima. Nimemsikia intelligence officer mmoja anasema sasa ni muda wa kumalizana na Hamas one's and for all
Nimemsikia mdada mmoja alikuwa anafanya kazi kikosi cha hiyo border waliovuka Hamas. Anasema wakati wao wanafanya hapo kazi 2014 ilikuwa ni ngumu ngumu kabisa mtu kusogea asijulikane.
 
Katika nchi ambayo inathamini na kulinda raia wao kwa garama yeyote ni Israeli..km wangetaka kutengeneza tukio ili wapate sababu ya kuivamia gaza wangetumia njia nyengine ila sio ya kuwatoa kafara zaidi ya watu 600 na inapoelekea watafika 1000..hapa ukweli ni kwamba wamezidiwa maarifa na Hamas.
 
Miafrika inajadili na kuumia zaidi miarabu na miyahudi ikiuana kuliko wamatumbi wenzenu wakiuana. Hiyo miarabu na miyahudi haiwapi hata pole kwenye madhira yenu ila nyie kila siku mnashoboka mtakuja kuolewa.

Kinachoendelea huko kinasikitisha at all levels ila acha wafu wazikane
 
Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Endeleeni kuamini huo ujinga wenu,mmelishwa matangopoli mpk mkavimbewa.yaani hamu amini kama usrael inaweza kupigwa.
 
Ila Hamas sio state army ni sawa na wale M23 ambao tunawahisi ni wa Kagame wapo kwa maslahi ya Rwanda wabutue Congo halafu ujeu ubutue Rwanda.

Hamasa ni kundi la kiislam linalowatetea Wapalestine, Israel wakawasake ila sio kwenda kuua raia.
 
Siku zote Israel kaonekana mchokozi, leo kapigwa haswaa hivyo kapata sababu ya kujilinda kwa njia zote.
Kisiasa inambeba BIBI
 
Ule uvamizi unafikirisha sana. Mpaka unajiuliza kwamba huenda hata viongozi wengi wa Hamas wamepandikizwa na kufanikishwa kufanya tukio lile ili ipatikane justification ya jambo ambalo litaonekana mwishoni.
Mi naamini huu mchezo una mengi.
Duniani kuna mengi hatuyajui
 
Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Yeah hapo naungana na wewe, maana mwanzo hawakuwa na sababu ya kufanya carpet bombing
 
Sio mbaya kuwaza tofauti..ila ukweli Israel haipo tayari kupoteza idadi ya watu wake kiasi hiko kwa sababu waje kufanya uvamizi..Vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel hawakuwa na taarifa yeyote kuhusu mashambulizi hayo.
Justification
 
Mi hichi kitu nimekisema kuna mtu kaniambia nina kariri mi mpaka kesho siamin eti ni la bahat mbaya. Hii ni inside job kwa malengo maalumu na waarabu wamejaa bila kujua. Sasa wamewapa jamaa sababu ya kuichukua gaza mazima. Nimemsikia intelligence officer mmoja anasema sasa ni muda wa kumalizana na Hamas one's and for all
Sio rahisi sana
 
Satalite zote za USA ambazo zinachungulia dunia nakuona hadi sisimizi zishindwe kuditect,hatari naona hii itakuwa ni justification ya kuja Gaza kuwakata mabawa hamasi.
Mi naamini si failure bali ni mchezo wameamua iwe hivyo, baada ya vita wanatoa kafala wakuu.
Kama 1973
Baada ya hapa Palestina haitakuwepo
 
Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Hamna lolote nyie jidanganyeni tu kama anavyo jidanganya US eti super power wakati alikimbia Afghanstan.

Hizo ni propoganda tu eti Israel ina jeshi wanatandikwa sawa sawa kwenya ile face to face Israel hana lolote US asingekimbilia kwenda msaidia na ndege zake zinapiga gaza Hamasi ni wanaume watumuonyesha karibuni kuwa US si lolote.
 
Waarabu wapumbavu wakifa hakuna hasara duniani.

Waarabu wa Dubai, Saudi, Kuwait hawana hasara
Ukipata akili utajua Paulo alikupoteza kuwa taifa lenu mpaa liombe msada wa US ndio linabaki na nguvu bila US halina lolote.

Sa yule Paulo si alisema Israel inalindwa na mungu wenu mbona wanachapwa vile hivi huoni aibu kuisoma bibilia iliokupoteza kuwa lile ni taifa teule wakati ni taifa la kishoga😂
 
Wadau hawatak kukubal kuwa idara ilifel kutimiza wajibu na jeshi nalo lilifel kujibu uvamiz Kwa haraka na mpaka asubuh ya leo mtanange mkali upo ndani ya miji ya Israel
 
Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Inawezekana pia mkuu. Je? Hama's akiwa na backup ya kutosha itakuwaje
 
Back
Top Bottom