Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaani wafe watu 1,000 halafu ndio baada ya hapo waendeshe operesheni ya kihistoria. Mbona watu wengi sana hao waliokufa.Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Mbona September 11 waliliua watu elf 3 wapate sababu ya kumuua Saddam na OsamaMkuu yaani wafe watu 1,000 halafu ndio baada ya hapo waendeshe operesheni ya kihistoria. Mbona watu wengi sana hao waliokufa.
Acheni kutafuta sababu. Hakuna cha mchongo wala nini. Yaani wabongo mnatabia za kutengeneza Conspiracy theory ili tu ku justify jambo.Kwamba ni surprise attack siamini! Inawezekana walifahamu mipango yote wakaruhusu itokee ili wapate sababu ya kuendesha operations kubwa ya kihistoria.
Acheni mawazo duni hayo. Jamaa kaotewa kweli na amepigwa. Hakuna cha mchongo hapoWamewatafutia sababu makusudi wawaue wapalestina.
Kubalini tu kuwa jamaa kaotewa this time . Hivyo acheni hizo nadharia zenu zisizokuwa na maana.Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani.
Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa vya kisasa, kuna hadi kambi za jeshi karibu zenye ndege na vifaa vya kisasa kabisa.
Iron Dome huwa ziko active lakini kwa jana ufanisi wake ulikuwa chini ya kiwango hasa Tel aviv hadi kusababisba uaribifu mkubwa.
Hata baada ya kuvamiwa, bado hatujaona wepesi wa kuwaondoa hao Hamas na ilikuwa mchana, Yamepita zaidi ya masaa 4 ndio operation ikaanza, tena kinyonge wanajeshi wakionyesha unprofessionalism, wakitembea makundi badala ya single line, wameuwana wenyewe kwa wenyewe etc.
Je? Ni kweli israel walijisahau au ni mchongo wametengeneza kusudi kutafuta sababu ya kuingia gaza, kama walivyofanya US september 11.
Je, Israel ilibweteka kutegemea US ambayo ilikuwa bize na superpower Ukraine.
Je Mossad imepoteza makali? Au siasa zimeingia hadi jeshini
Au ni mchonga kuacha gap makusudi ili wapate sababu. Ikumbukwe jeshi lao lina doktrine inayosema Sometimes we have to trim the weeds in gaza
karibu
Huu ndio ukweli.Sio mbaya kuwaza tofauti..ila ukweli Israel haipo tayari kupoteza idadi ya watu wake kiasi hiko kwa sababu waje kufanya uvamizi..Vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel hawakuwa na taarifa yeyote kuhusu mashambulizi hayo.
Ni wepi hao?Huu ndio ukweli.
Hili shambulio limeratibiwa na wapiganaji wa kigeni, Hamas ni mtekelezaji tu