Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa kutosha kwa mtu mfano wewe mwenyewe ni kias gani?mwenye pesa za kutosha
Mkuu hata uhai mbona ni hutajiri tosha?Mimi imani yangu kuhusu maswala ya kuwa tajiri yaani RIZKI HAINA UJANJA kuna watu wanapambana na maisha ila hawapati utajiri.me nimeona watu wamepata hadi mil 700 ila sshivi anakuomba mia5
"..Binadamu wotee tukiwa matajiri bado wale matajiri wa mwisho mwisho wataonekana masikini pia"Wanajamvi, Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa nafasi hii aliyonipa ya uhai na afya tele kuweza kuleta swali hili kwenu.
Swali langu haliongelei kama inawezekana kila mtu akawa tajiri 'kiutendaji', la hasha. Bali je, logic inakubali kwa watu wote duniani kuwa matajiri bila kuacha masikini hata mmoja? au kwa wengine kuwa matajiri ni lazima kuwe na wahanga? (masikini)?
Nawasilisha.
Yeah.. Tajiri akizungukwa na masikini anaonekana sana.. Lakini tajiri huyu ukampeleka kwa Matajiri wengine ataonekana bado.. So utajiri utauelezea kulingana na muktadha..hata hivyo kama ilivyo hasi na chanya.. Ni vigumu wote kuwa matajiri.. Hiyo ni nature.."..Binadamu wotee tukiwa matajiri bado wale matajiri wa mwisho mwisho wataonekana masikini pia"
Sema sasa tukija in reality, capitalism, kitu pesa kila mtu anakomaa kuzivuta kwake kadri awezavyo, hata kama ni kubomoa nyumba za watu, kufunga watu, people don't care, kufanya watu wawe slaves etc, na ni moja ya vitu vinavyochangia vitu kama weapons manufacturing, sababu kama weapons zingekua hazilipi vya kutosha makampuni yasingejitokeza kutengeneza very advanced weapons, kwa style hii lazima baadhi ya watu waumie tu, haitotokea siku hata moja kuwe na balance sababu system nzima inaoperate kwa principle ya moja ata-gain profit moja ata-lose hamna swala la kusema nchi zote zitashirikiana kutengeneza kitu flani ku-end world hunger, coz kila mtu yuko busy kujaribu kuvuta pesa kwake hamna muda wa kufikiria kuhandle matatizo ya binadamu wengine.