Atariport viliibiwa anapata vipya tu sio issueIt's lady action again.....drama queen.
Haya najua wengi mtatukana weee lkn ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miez kama 4 hv, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia kuzaliwa, form four, diploma mpaka degree...lengo sio kukaa nacho lengo mpaka anipe haki yangu ndio nimpe ikiwemo na pesa nilizochangia kujenga nyumba ....
Je, kuna hatua zozote kisheria?
Anaweza kuchukua jamaa?
ππππKuna kipindi nilikuwa nawaona wanaume wanaopiga risasi wake zao ni wajinga ila kwa hili naona wapo sahihi.
Mtandikwe tu na mimi nasema mtandikwe tu kwa kuwa hamna namna tumechoka sasa.
mh! Mkuu ni rahisi kihivyo??Atariport viliibiwa anapata vipya tu sio issue
Hapo umepambana kivyako lakini sheria haielekezi hivyo!It's lady action again.....drama queen.
Haya najua wengi mtatukana weee lkn ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miez kama 4 hv, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia kuzaliwa, form four, diploma mpaka degree...lengo sio kukaa nacho lengo mpaka anipe haki yangu ndio nimpe ikiwemo na pesa nilizochangia kujenga nyumba ....
Je, kuna hatua zozote kisheria?
Anaweza kuchukua jamaa?
Mh...cheti kama cheti huwa hakitolewi tena,wtakachokupa ni statement of results,sasa kama hujapata ajira hapo ndipo mziki utakuwepo,kwani kwenye utafutaji ajira huwa wana hitaji vyeti halisi.
Bora umenifungua. Nianze j3Kwanini hukuondoka na vitu vyako kabisa!!??
Au ulikuwa unatingisha kiberiti!?
Vyeti beba vyote yeye atapita ofisi Moja Hadi nyingine na atapewa vingine, si anaenda tu kupewa loss report.....
Kuachana ni pamoja na kufanya maamuzi ya busara na hekima, otherwise utaonekana unapenda drama tu.
AnavipataEti atapita ofisi moja hadi nyingine na kupewa cheti kingine,kirahisi rahisi tu cha form four,na six,hawezi akapewa cheti kingine tena.
sio kweli!!mimi nina ushahidi na hilo,labda kama huo utaratibu umeanza miaka hii ya karibuni.Anavipata
AnavipataEti atapita ofisi moja hadi nyingine na kupewa cheti kingine,kirahisi rahisi tu cha form four,na six,hawezi akapewa cheti kingine tena.
Mwaka 2016 kuna mtu alipoteza na akaenda necta akapewa. Mimi mwaka 2018 nimepewa copy nyingine ya cheti cha form 6 baada ya cha awali kuibiwa.sio kweli!!mimi nina ushahidi na hilo,labda kama huo utaratibu umeanza miaka hii ya karibuni.
ndio maana nikasema labda miaka hii ya karibuni,utaratibu umebadirika,mimi kuna mdogo wangu alipata ajari mwaka 2004,vyeti vyake vikapotea,bwana alipokwenda baraza la mitihani walimpa statement of results tu,wakasema cheti hakitolewi mala mbili,bahati nzuri alikuwa ameshapata kazi,haiku muathiri sana.Anavipata
Mwaka 2016 kuna mtu alipoteza na akaenda necta akapewa. Mimi mwaka 2018 nimepewa copy nyingine ya cheti cha form 6 baada ya cha awali kuibiwa.
Kuna utaratibu tu unapaswa uufuate
Nyie mtakuwa msharidiana π π πIt's lady action again.....drama queen.
Haya najua wengi mtatukana weee lakini ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miezi kama 4 hivi, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia Kuzaliwa, Form Four, Diploma mpaka Degree.
Lengo sio kukaa nacho, lengo mpaka anipe haki yangu ndio nimpe ikiwemo na pesa nilizochangia kujenga nyumba
Je, kuna hatua zozote kisheria? Anaweza kuchukua jamaa?