johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwanza ikumbukwe kuandaa Mdahalo ni gharama!
Turudi kwenye mada, Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesusia Mdahalo Kwa sababu Dr Nchimbi hajahudhuria hali iliyopelekea Makatibu Wakuu wa CUF na ACT Wazalendo nao kususia wakimuunga mkono Mnyika
Je kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo ni Cha kistaarabu?
Kwani kulikuwa na sharti la kolamu ya Makatibu Wakuu wote wawepo?
Maoni tafadhali 🐼
PIA SOMA
- News Alert: - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Turudi kwenye mada, Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesusia Mdahalo Kwa sababu Dr Nchimbi hajahudhuria hali iliyopelekea Makatibu Wakuu wa CUF na ACT Wazalendo nao kususia wakimuunga mkono Mnyika
Je kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo ni Cha kistaarabu?
Kwani kulikuwa na sharti la kolamu ya Makatibu Wakuu wote wawepo?
Maoni tafadhali 🐼
PIA SOMA
- News Alert: - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!