Je, kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo Kwa sababu Dkt Nchimbi ana udhuru ni cha Kiungwana?

Je, kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo Kwa sababu Dkt Nchimbi ana udhuru ni cha Kiungwana?

yaani dr nchimbi asiende kwenye kikao cha kk ikulu aende kuuza sura na mnyika mbona mna mambo ya hovyo hivi!
 
Nakuhakikishia angekuwa ni Dr Slaa angeendelea na Mdahalo na angeitumia Fursa vizuri sana
Bwashee, kumlinganisha Dr Slaa na hawa wengine ni kumshushia hadhi. Dr Slaa hakuhitaji uwepo wa mtu mwingine ili uwepo wake uonekane. Hawa kina Mnyika ni wanasiasa uchwara wanaotegemea uwepo wa mwanaccm ili nao wapate coverage.
 
Bwashee, kumlinganisha Dr Slaa na hawa wengine ni kumshushia hadhi. Dr Slaa hakuhitaji ueepo wa mtu mwingine ili uwepo wake uonekane. Hawa kina Mnyika ni wanasiasa uchwara wanaotegemea uwepo wa mwanaccm ili nao wapate coverage.
😂😂😂
 
Unadhani huu ni Mdahalo wa kwanza Viongozi wa CCM kutoshiriki?

Nakuhakikishia angekuwa ni Dr Slaa angeendelea na Mdahalo na angeitumia Fursa vizuri sana

Hata Heche asingesusa!

Mnyika hajakomaa kisiasa 🐼
Ila Dr. Nchimbi ndio amekomaa kisiasa kwa kutoonekana eneo la tukio hata kushindwa kutoa udhuru?!
 
Back
Top Bottom