Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Una macho lakini huoni.Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Mbona wanaccm hawana ubongo na wanaendelea kuishi! Kamcheki Lucas Mwashambwa, utashangaa.Ikipita risasi ikapiga ubongo, uwezekano wa kufa ni asilimia mia
Dunia hii ina wagonjwa wengi wa akili kuliko watu wazima.Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naonat Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhalilE
wachana na movies na games mzee ...headshot sio poa, NGUMU! hata hivyo nitakupa sababu, iko hivi siku zote sehemu zinazoboreshwa ni zile ambazo katika uhalisia ndizo mara nyingi huonekana kuathirika, mfano walio pigwa risasi wengi duniani walipigwa sehemu za kifua na tumbo na sio kichwa,ingawa ukila ya kichwa ni AKHERA MOJA KWA MOJA,lakini pia hata ndege,vifaru ama meli zikienda battlefield zikirudi/ama zikiharibika basi huangaliwa wapi zimepigwa sana/kuathirika na hapo ndipo wanapo dili napo kupawekea kinga sana, same as human 😅 bai ze wei jana nimeona video ya KOMANDO WA KIZAYUNI AKIJARIBU KUFANYIA KAZI MAZOEZI HALISI YA HEADSHOT AKIUA MTOTO WA KIPALESTINA....na akimkosa mwingine WAZI KABISA...! 🙂Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Rejea shambulio la Lissu la 2017 kule Dodoma, hakuna hata risasi moja iliyolenga kichwa. Ukichunguza mostly wale professional snipers ndiyo huwa wanalenga kichwa, kichwa si easy target hivyo bulletproof vest ni kupunguza tu kwa asilimia fulani madhara ya shambulio la risasi.Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
JPM alikuwa analindwa na kikosi cha makomandoo, mitambo ya kisasa, misururu ya magari na helikopta juu, yuko wapi sasa?Ijue siasa;
(1) lowasa alipanda daladala
(2) trump alipika chips mc Donald
(3) lissu alivaa ....
(4)ongezea
Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Kwenye mapigano ya kawaida yaani random kupiga kichwa ni nadra kiwiliwili ndio kinapigwa kwa urahisi. In case wakijua kuna sniper wanavaa helmet ya chuma kupunguza target.Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Huwezi kupita bila kujipakulia minyama?!!Kupiga kichwani inahitaji mtu mbobezi wa Shabaha kama Mimi.
So kwel😄😄😂Info is powerhakuna siri...kila kitu kiko wazii
Huwezi kupita bila kujipakulia minyama?!!
Kichwa cha mbow kama cha chalamila, kupata shabaha ni shughuli pevuNa ukute adui ana kichwa cha mviringo kama Mwijaku
yani kichwa kama kichwa cha mbow au cha samaki
Hio ni vivid example ila sema mimi sijui 😂😂Kichwa cha mbow kama cha chalamila, kupata shabaha ni shughuli pevu
...Helmet haizuii Risasi !Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Hauni fikii mimiNenda kwenye mafunzo ya kulenga Shabaha uone ilivyokazi kulenga kichwani.
Pia kichwa kinakuwa na movements za hapa na pale tofauti na kifuani
Kupiga kichwani inahitaji mtu mbobezi wa Shabaha kama Mimi.
Kumbe JF bado kuna watu wajinga kiasi hiki?Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Mtu aliyepigwa risasi ya kichwa mara kadhaa wengi uwa hawafi mfano mzuri ni wale watu wenye jicho moja(chongo) wengine uwa ni majeraha ya risasi,si sehemu zote za kichwa zaweza kupelekea mtu kufa ila kifuani kuna moyo,maini,mapafu na yote yana upana mkubwa(mnofu)mlengaji hawezi kosa kimojawapo na vyote husababisa kifoNi katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali
Naona anaongelea za watu wa ujenzi na pikipikiUnaongelea za pikipiki au za watu wa ujenzi?
Alaf kilaza hata hajawai kuona live risas zipigwa licha ya yy kupigaHuwezi kupita bila kujipakulia minyama?!!