Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Wewe ndio umeeleza kisomiWatu wengi hupigwa risasi kifuani si kichwani kwa sababu ni rahisi kulenga kifua kuli kichwa kutokana na small target surface area.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umeeleza kisomiWatu wengi hupigwa risasi kifuani si kichwani kwa sababu ni rahisi kulenga kifua kuli kichwa kutokana na small target surface area.
Ni sawa na kulewa,alaf kuficha kichwa kichakani theni matako yako ukayaacha yakiwa wazi!!Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona Polisi/wanausalama/wanajeshi wanavaa na helmet pia.
Kwa wenye uelewa tafadhali