Je, kiusalama, kuvaa vest ya kuzuia risasi, na kuacha kichwa, ambayo ni sehemu hatari zaidi, ikiwa wazi, mtu anakuwa amejilinda?

Ni sawa na kulewa,alaf kuficha kichwa kichakani theni matako yako ukayaacha yakiwa wazi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…