Duuh! Mbona haijatolewa taarifa rasmi mkuu? Mm niko Kigamboni naendelea kumtafutaNondo amerudi katupwa Hq ya ACT kapigwa haswa hajitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Mbona haijatolewa taarifa rasmi mkuu? Mm niko Kigamboni naendelea kumtafutaNondo amerudi katupwa Hq ya ACT kapigwa haswa hajitambui
Itatoka tu. Tuwe na subiraDuuh! Mbona haijatolewa taarifa rasmi mkuu? Mm niko Kigamboni naendelea kumtafuta
I kweli nimeona instaNondo amerudi katupwa Hq ya ACT kapigwa haswa hajitambui
Duuh! Mbona haijatolewa taarifa rasmi mkuu? Mm niko Kigamboni naendelea kumtafuta
Asante mkuu, nilikuwa gizani bado.Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT. Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida. =============== Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram...www.jamiiforums.com
Nani atekwe? Ungejua mie ni bonge la kamanda aliyechukua mafunzo ya u seal kule Amerika usingehofia maisha yangu.Unaogopa kutekwa au? Mbona unaandika kwa kutetemeka.
Unadhani ni ZnZ yote?Zanzibar ni kitovu cha utalii, Chatolite kilikuwa ni kisogo cha utalii.
Kwa tamadùni za kipwani kitovu huvishwa kidani ilihali kisogo hupumuliwa ,so which is which. Kupanga ni kuchaguaZanzibar ni kitovu cha utalii, Chatolite kilikuwa ni kisogo cha utalii.