Je, KKKT ni mpinzani mpya wa CHADEMA?

Je, KKKT ni mpinzani mpya wa CHADEMA?

Kwaweli KKKT wajiangalie sana wasijekufanywa kama BAKWATA na CCM Viongozi wa BAKWATA wamefanywa kuwa ni Wazee wa Bahasha za Khaki na Ubwabwa wenye kunukia viungo.
Malasusa ameshaiuza KKKT kwa CCM ndiyo maana uongozi wote wa juu wa CCM na wakuu wa vyombo vyote vya dola na mihimili yote walikuwepo kushuhudia jembe lao likichukua ofisi.
View attachment 2879583
 
Back
Top Bottom