Je, Kobe huishi miaka mingapi?

Je, Kobe huishi miaka mingapi?

Wale wa Znz mkubwa kabisa anapush 160 na wanasema ndiokwanza yupo kwenye ujana wa miaka 30 ya binadamu! Wangekuwa wanasema wale wangetuambia mengi kuhusu nchi zetu tuondokane na hizi story za mashujaa wa uongo uongo!
Umetisha sana mkuu.
 
Licha ya kobe kuna huyu immortal jelly fish yy anaishigi 2 hafi kwa natural cause yyte labda umvue umle
 
Nasikia hata kasa akimpanda jike basi ni mwaka mzima hamuachii na siku atakayomwachiaa basi jike ni lzm akimbilie juu kwenda kutaga
Nalog off
 
Nasikia hata kasa akimpanda jike basi ni mwaka mzima hamuachii na siku atakayomwachiaa basi jike ni lzm akimbilie juu kwenda kutaga
Nalog off
Usitulishe matango pori[emoji115] [emoji115]
 
Kuna padri mmoja kule pawaga aliishi miaka 100....amefariki mwaka juz (R.I.P) alikuwa anakula sana kobe na Samaki yaan hakuna mlo upite bila mnofu wa either Kobe or Samaki na alituambia ukitumia Kobe unaongeza miaka ya kuishi
Kila mlo na kobe?Alikuwa ana kobe wengi sana ee
 
Wangekuwa wanaishi maisha marefu....wangekuwa wamejazana ulimwengu huu....! Angalau wangekuwa nusu ya binaadamu wote.....
Nafikiri utafiti ili kujua ukweli wote unahitajika...
 
Back
Top Bottom