Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Hisia za UDINI hutumiwa na na watu walioshindwa HOJA NA FIKRA.....

Ugaidi/terrorism unaweza kufanywa na YEYOTE awaye tusitafute visingizio......
Hata tuhuma za ugaidi sina tumiwa na watu wavivu kufikiri? Mtu anadai katiba mpya unampa kesi ya ugaidi? wanaposema kuna viongozi vichaa huoni tunaamini sasa
 
Sifa moja kuwa Mkristo ni kutokuwa mkweli. Hili linaonekana sana kiutendaji. Sifa nyingine ni kulalama,kadhalika sifa nyingine ni kuona wao wanaonewa,tena sofa myingine ni wao wawafanyie mabaya wenzao ila wasofanyiwe,hapa natumia msemo wa Kiswahili usemao "Kunya anye kuku akinya bata amehara". Hamkujaaliwa uadilifua WAKRISTO.

Hizo ni sifa za wakristo wapi unawaongelea mkuu?
 
Ninyi tulieni hawa wamachame msiwaamini sana. Iachieni mahakama ifanye kazi yake. Kama siyo gaidi ataachiwa tu lakini huyu inaonekana kuna kitu alifanya. Muda utaongea.
Hata tuhuma za ugaidi sina tumiwa na watu wavivu kufikiri? Mtu anadai katiba mpya unampa kesi ya ugaidi? wanaposema kuna viongozi vichaa huoni tunaamini sasa
 
Uhamsho waliwaonea thus wamekosa ushahidi wakawaachia,ukiona wanasema hawana haja ya kuendelea na kesi au wameifuta kesi jua hio ni ya kubambika kuepuka aibu ya kushindwa uzuga DPP hana nia,sasa kama hawana nia mnawakamatia nini,jibu haina ushahidi ni mpumbavu mmoja anaamua kuwakomoa watu kupitia madaraka.Hii ya Mbowe mashahidi wote ni mapolisi ambao nao ni makada na Kazi ya police ni kupokea amri utaki utashughulikiwa kufukuzwa Kazi,kuhamishiwa porini.Huyo mwamba watamsumbua then watamuachia tu hawana ushahidi nje ya huu wa kuokoteza.
Tangu wawaweke ndani miaka tena bila ushahidi wazee wa escrow na uhamsho kwa uonevu tu wa wahuni wachache imani hakuna.
Shetani uishi kupitia watu na kupitia watu tunamuona shetani.
 
Na huo ndiyo ukweli hakuna anae weza kuupinga kielimu kwa hoja na kwa uadilifu.

Shukrani tuko pamoja.

Nilichofurahi, unajadili kwa hoja ( suala la usahihi wa hoja hilo tuliweke pembeni). Ni sawa na mimi leo hii nikitoa kauli kuhusu uislam au dhehebu lingine nisilolifaham vizuri.

Naomba niweke wazi, sitajikita kwenye mjadala wa uhalali wa kuachiwa au kutoachiwa kwa Viongozi wa uamsho na kesi ya Mbowe, la hasha.

Nilikunukuu kuhusu sifa za wakristo na ukaandika huo ndio ukweli, sikuona haja ya kukubishia au kupingana nawe bila kusikiliza hoja zako, kama hautojali, ingekua vema ukaelezea kidogo kuhusu uongo, kulalamika kuonewa na chuki ( sina uhakika kama nimekunukuu ipasavyo).

Ila nakuwekea hapa chini maandiko kutoka kitabu cha Yakobo.

Yakobo 5:7-9

7 Kwa hiyo ndugu, vumilieni, hata kuja kwake Bwana. Tazama, mkulima hungoja mazao ya nchi yaliyo ya thamani, huvumilia kwa ajili yake hata yatakapopata mvua ya kwanza na ya mwisho.

8 Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia.

9 Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.
 
Cabinet ya magu ilikua na waislam 3 tu,na waislamu wala awakulalamika,udini wa rais umekuja baada ya nyinyi wenyewe kumchukulia ni dhaifu,ogopa sana kiumbe mwanamke akiwa na nguvu flan then wewe ukamchukulia dhaifu kutokana jinsia yake,tena mkizidi anamtoa sabaya jela na kumpa ukuu wa wilaya ya hai na kukamata yule mdude nyagali,huyu bibi alikua anasettle vizuri tu nyie wenyewe ndie mliesababisha abadilike
Hapa una maanisha wanawake uongoza kwa hisia na inferiority complex na sio sheria
 
Tuendako sio salama Kama watawala hawatakuwa making. Kumuita mtu gaidu na si gaidu NI hatari. Kutawala Kwa mbinumbinu nikubaya Sana. Utawala mzuri NI ule mtu anatawala kufuata wananchi kipi wanahutaji na kipi hawahitaji.
Hiv gaidi haw watawala wa inchi ya zumbukuku wanaijua?
 
Upuuuz tu hakuna jipya UAMSHO WALE NDIO MAGAIDI WALA SI MBOWE

Ikiwa mahakama na vyombo vilivyopo vilisema wale watu sio magaidi, tusubirie watasema nini kuhusu kesi inayoendelea.
Si wote tunapewa mrejesho kwa yanayojiri huko mahakamani?

Hapa mjadala ungekua ufanisi au ubora wa vyombo vyetu vya kusimamia haki. Matokeo yake imekua kufananisha kesi ya kiongozi wa KuB na Masheikh wa Uamsho.
 
Ikiwa mahakama na vyombo vilivyopo vilisema wale watu sio magaidi, tusubirie watasema nini kuhusu kesi inayoendelea.
Si wote tunapewa mrejesho kwa yanayojiri huko mahakamani?

Hapa mjadala ungekua ufanisi au ubora wa vyombo vyetu vya kusimamia haki. Matokeo yake imekua kufananisha kesi ya kiongozi wa KuB na Masheikh wa Uamsho.
Hoja yako ww na mtazamo wako mkuu tofaiti maana ww umelenga kwenye UDINI HAPO NDIO CHANGA FIRE MKUUU
 
Ugaidi ni uhalifu,sasa kuna dini gani inayoruhusu uhalifu
 
Hoja yako ww na mtazamo wako mkuu tofaiti maana ww umelenga kwenye UDINI HAPO NDIO CHANGA FIRE MKUUU

Kumbuka kichwa cha habari kinaongelea "athari kiimani" pia. Bila shaka sijatoka nje ya mada.

Hata hivyo nimeomba suala la nani ni gaidi na yupi sio gaidi iachiwe mahakama kuamua hilo.
 
Magaidi wanajulikana jamani. Mbowe siyo gaidi.
 
Nilikunukuu kuhusu sifa za wakristo na ukaandika huo ndio ukweli, sikuona haja ya kukubishia au kupingana nawe bila kusikiliza hoja zako, kama hautojali, ingekua vema ukaelezea kidogo kuhusu uongo, kulalamika kuonewa na chuki ( sina uhakika kama nimekunukuu ipasavyo).
Vizuri.

Nilipokuwa nasema kuhusu sifa za Wakristo kuwa siyo wa kweli nilimaanisha. Wakristo siyo wa kweli kianzia katika maandiko yao mpaka matendo yao.

Ukristo ni katika dini zilizo zuliwa, dini ambayo kwa masikitiko makubwa sana inanasbishwa na nabii wa Allah Issa mwana wa Maryam (Amani ya Allah iwe juu yake).

Uongo mwingine ambao ni sifa ya Wakristo hawana misingi ya kuhakiki habari zinazo husu maandiko yao japokuwa wapo baadhi ya watu wamekuja kujua uongo wa habari hizo.

Jambo lingine ni kuwa Injili zote si habari kutokana na ushahidi wa kumuona nabii Issa (Yesu) kwa macho na kunukuu habari zake.

Nakomea hapa....
 
Vizuri.

Nilipokuwa nasema kuhusu sifa za Wakristo kuwa siyo wa kweli nilimaanisha. Wakristo siyo wa kweli kianzia katika maandiko yao mpaka matendo yao.

Ukristo ni katika dini zilizo zuliwa, dini ambayo kwa masikitiko makubwa sana inanasbishwa na nabii wa Allah Issa mwana wa Maryam (Amani ya Allah iwe juu yake).

Uongo mwingine ambao ni sifa ya Wakristo hawana misingi ya kuhakiki habari zinazo husu maandiko yao japokuwa wapo baadhi ya watu wamekuja kujua uongo wa habari hizo.

Jambo lingine ni kuwa Injili zote si habari kutokana na ushahidi wa kumuona nabii Issa (Yesu) kwa macho na kunukuu habari zake.

Nakomea hapa....

Kwakua huo ni mtizamo wako kuhusu ukristo, naomba nikomee hapo pia mkuu.
 
Back
Top Bottom