Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Wale magaidi hawakuwa na kesi huyo mbowe kesi inaendelea,mahakama iachiwe mamlaka yake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Uamsho walikamatwa Zanzibar chini ya SERIKALI ya mh.Dr.Shein ,makamu wa pili Balozi Seif Ali Idd na wakasafirishwa huku bara ,Rais akiwa mh.Jakaya Mrisho Kikwete.....

Msichukie asiye muislam kuitwa GAIDI,katika KAMUSI ,neno gaidi halijatajwa kuhodhiwa na KIKUNDI FULANI CHA KIDINI....hata uwe mpagani unaweza kuwa ni GAIDI...

#TanzaniaBilaYaUgaidiInawezekana
#TuweNaKumbukumbu
#WatanzaniaWameamka
#NchiKwanza
#JMTKwanza
Uko sahihi kabisa ugaidi hauna uhusiano na dini. Ingawa kuna baadhi ya watu wametumia dini vibaya kufanya ugaidi. Huenda wahusika wenyewe hata hawajaishika dini vizuri.

Labda tunaelewa vibaya maana ya "jihad" na huenda kuna wafuasi wanaitafsiri jihad vibaya au kwa makusudi ya kufanikisha mambo yao.

Rais Museveni hivi karibuni kauliza swali zuri sana. Nitamnukuu, "ikiwa wanaojitoa mhanga wanaamini wataenda mbinguni au paradiso ya raha na mema yote kwa kujitoa mhanga, kwa nini viongozi wao hawajitoi mhanga?"
 
Ninyi tulieni hawa wamachame msiwaamini sana. Iachieni mahakama ifanye kazi yake. Kama siyo gaidi ataachiwa tu lakini huyu inaonekana kuna kitu alifanya. Muda utaongea.
Hiyo mahakama unayoesema itende haki,unauhakika na uyaongeayo? Hatuna mahakama ya haki
 
Beatrice Kamugisha umefufuka? Karibu sana.

Huyu bibi kwa hakika ni mdini. Kaachia waislamu wenzake Sasa anakamata wakristo.

Uamsho wamekutwa na hatia ewe naswara/myahudi mweusi? Almost 8 or 9 years wame2mikia gerezani na kesi yao haikuwa ikisikilizwa, ni haki hiyo? Yule kafiri mpaka anatutoka hapa duniani hakufanya chochote, mama mwenye huruma na utu, na hofu aliyonayo kwa Mungu akawatoa UAMSHO, je!! Wewe ulitamani waendelee ku2mikia jela!!!!


Kuhusu mbowe, mimi na wewe ha2jui kosa lake, usikae kumdhania mama ni mdini bila kujuwa ana hatia ama!!!!
 
Cabinet ya magu ilikua na waislam 3 tu,na waislamu wala awakulalamika,udini wa rais umekuja baada ya nyinyi wenyewe kumchukulia ni dhaifu,ogopa sana kiumbe mwanamke akiwa na nguvu flan then wewe ukamchukulia dhaifu kutokana jinsia yake,tena mkizidi anamtoa sabaya jela na kumpa ukuu wa wilaya ya hai na kukamata yule mdude nyagali,huyu bibi alikua anasettle vizuri tu nyie wenyewe ndie mliesababisha abadilike

Walikuwa wanatikisa kiberiti kwa mama nini!! 🤣

Waisilamu hawana shida na wao wala tamaa na uteuzi, ila upande wa pili sasa. Na ukifuatilia takwimu zao naamini wakristo ni wengi kuriko waisilamu,,,,pamoja na hayo bado wanaumia kwa waisilamu.
 
Huyu bibi ajitathimini. Vinginevyo anaipeleka nchi pabaya kwa ubaguzi wake.

Mbaguzi ni wewe na wenzio mnaomchukia bila sababu uyu mama.

Binafsi huwa napata amani nchi ikiongozwa na marais waisilamu.
 
Basi wewe unashida. Una asili ya udini udini hivi.

Nani mdini kama co wewe ulieanza na udini!!!! Kila awamu wakristo wanaongoza kwa uteuzi c kwa muisilamu wala asie kiongozi muislamu lakinii ushawahi kuona waisilamu wanalalamika na kupata sauti!!!!
 
Uko sahihi kabisa ugaidi hauna uhusiano na dini. Ingawa kuna baadhi ya watu wametumia dini vibaya kufanya ugaidi. Huenda wahusika wenyewe hata hawajaishika dini vizuri.

Labda tunaelewa vibaya maana ya "jihad" na huenda kuna wafuasi wanaitafsiri jihad vibaya au kwa makusudi ya kufanikisha mambo yao.

Rais Museveni hivi karibuni kauliza swali zuri sana. Nitamnukuu, "ikiwa wanaojitoa mhanga wanaamini wataenda mbinguni au paradiso ya raha na mema yote kwa kujitoa mhanga, kwa nini viongozi wao hawajitoi mhanga?"
Hakika....

Hatari sana mkuu.....

Brainwashing ya kiwango cha ajabu kabisa.....wasio na akili wanatumiwa na wanufaika wa biashara hiyo yenye malengo mahsusi.....ni bahati mbaya sana bado liko kundi kubwa la watu wapumbavu wanaofanya vitendo hivyo na pia uwepo wa kundi kubwa la watu wajinga wanaolaumu wasiohusika ilihali hawajijui kuwa nao ni mateka wa kadhia hizo za kinyama..........
 
Back
Top Bottom