Je, kuanguka kwa utawala wa Bashar al-Assad huko Syria ni kushindwa kwa Russia na Iran?

Je, kuanguka kwa utawala wa Bashar al-Assad huko Syria ni kushindwa kwa Russia na Iran?

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Honestly, kuanguka kwa huyu mwamba kiboko ya mataifa ya magharibi kumenihuzunisha sana. Was it coincidence or planned. Mbona imekuwa haraka sana wakati jana tu nimeskia Hezbollah wametuma maelfu ya wapiganaji kumsaidia ASSAD.

Wasiwasi wangu ni hii nchi kuangukia kwenye machafuko ya kila mara maana hawa wanamapinduzi wanataka nchi itawaliwe KIISLAM kwa itikadi kali, je itakuwaj hapo baadae.

All in all, nchi za magharibi ni chanzo cha machafuko na mapinduzi mengi Duniani ikiwemo Africa na hakika kwa hili wamefanikiwa. Yani wametegea RUSSIA na IRAN wako kwenye tension kubwa ya vita ndo wakawaambia waasi waanze safari ya kuelekea Damascus.

Je kuna uwezekano wa Russia na Iran ku-heat back ili kumrejesha kipenzi chao? Au ndo basi tena.

NB.
Kuna nchi nyingi sana Africa zimejificha kwenye kichaka kinachoitwa demokrasia, but in reality it's just propaganda or romantised democracy. Nchi km hizi pia mapinduzi ndo size yao.

Pole sana Russia, pole sana Iran, mimi nimeumia lakini nyie mmeumizwa zaidi.
 
Mnaosema Urusi na Iran wamshindwa Syria mtakuwa hamuelewi mambo yalivyo.

Syria population ni 75% Sunni Majority. Bashar Al Asad alikuwa ni ni Shia ndo maana Iran alikuwa anam support.

Ukifanya mahesabu unaelewa kwamba hata kama Russia na Iran wangeamua ku support Assad mpaka mwisho ingekuwa ni blood war na ni likely washia wangeshindwa, alichofanya Bashar itakuwa ni ushauri wa Iran na Russia kwamba hana namna zaidi ya kungoka madarakani because the odds are not on his favor.

Kwahiyo sioni hoja ya kushangilia kwamba Iran na Russia wameshindwa. Kuanguka Assad was inevitable
 
Mnaosema Urusi na Iran wamshindwa Syria mtakuwa hamuelewi mambo yalivyo.

Syria population ni 75% Sunni Majority. Bashar Al Asad alikuwa ni ni Shia ndo maana Iran alikuwa anam support.

Ukifanya mahesabu unaelewa kwamba hata kama Russia na Iran wangeamua ku support Assad mpaka mwisho ingekuwa ni blood war na ni likely washia wangeshindwa, alichofanya Bashar itakuwa ni ushauri wa Iran na Russia kwamba hana namna zaidi ya kungoka madarakani because the odds are not on his favor.

Kwahiyo sioni hoja ya kushangilia kwamba Iran na Russia wameshindwa. Kuanguka Assad was inevitable
Russia wako occupied kwa sasa, ni ngumu wao ku extend resources kumsaidia asad, vile vile iran japo hana vita but yupo kwneye mgogoro , so asap ilitakiwa by this time awe amesimama mwenyewe
 
Mnaosema Urusi na Iran wamshindwa Syria mtakuwa hamuelewi mambo yalivyo.

Syria population ni 75% Sunni Majority. Bashar Al Asad alikuwa ni ni Shia ndo maana Iran alikuwa anam support.

Ukifanya mahesabu unaelewa kwamba hata kama Russia na Iran wangeamua ku support Assad mpaka mwisho ingekuwa ni blood war na ni likely washia wangeshindwa, alichofanya Bashar itakuwa ni ushauri wa Iran na Russia kwamba hana namna zaidi ya kungoka madarakani because the odds are not on his favor.

Kwahiyo sioni hoja ya kushangilia kwamba Iran na Russia wameshindwa. Kuanguka Assad was inevitable
Miaka 53 mbona hao Sunni walifeli kumtoa?
 
Mnaosema Urusi na Iran wamshindwa Syria mtakuwa hamuelewi mambo yalivyo.

Syria population ni 75% Sunni Majority. Bashar Al Asad alikuwa ni ni Shia ndo maana Iran alikuwa anam support.

Ukifanya mahesabu unaelewa kwamba hata kama Russia na Iran wangeamua ku support Assad mpaka mwisho ingekuwa ni blood war na ni likely washia wangeshindwa, alichofanya Bashar itakuwa ni ushauri wa Iran na Russia kwamba hana namna zaidi ya kungoka madarakani because the odds are not on his favor.

Kwahiyo sioni hoja ya kushangilia kwamba Iran na Russia wameshindwa. Kuanguka Assad was inevitable
In a surprising move, a Syrian rebel extended a message of peace and cooperation during an interview with Israel’s Channel 11 saying, ‘Dear neighbors and friends from the friendly state of Israel, there will be no extremism; we share passion. We invite Israel to come to Syria and invest.’
 
Kuna member amesema kuwa ndege ya Assad imefunguliwa. Tena na kombora la Russia. Sijaelewa
 
Honestly, kuanguka kwa huyu mwamba kiboko ya mataifa ya magharibi kumenihuzunisha sana. Was it coincidence or planned. Mbona imekuwa haraka sana wakati jana tu nimeskia Hezbollah wametuma maelfu ya wapiganaji kumsaidia ASSAD.

Wasiwasi wangu ni hii nchi kuangukia kwenye machafuko ya kila mara maana hawa wanamapinduzi wanataka nchi itawaliwe KIISLAM kwa itikadi kali, je itakuwaj hapo baadae.

All in all, nchi za magharibi ni chanzo cha machafuko na mapinduzi mengi Duniani ikiwemo Africa na hakika kwa hili wamefanikiwa. Yani wametegea RUSSIA na IRAN wako kwenye tension kubwa ya vita ndo wakawaambia waasi waanze safari ya kuelekea Damascus.

Je kuna uwezekano wa Russia na Iran ku-heat back ili kumrejesha kipenzi chao? Au ndo basi tena.

NB.
Kuna nchi nyingi sana Africa zimejificha kwenye kichaka kinachoitwa demokrasia, but in reality it's just propaganda or romantised democracy. Nchi km hizi pia mapinduzi ndo size yao.

Pole sana Russia, pole sana Iran, mimi nimeumia lakini nyie mmeumizwa zaidi.
Wakati utatupa jibu sahihi,
Umeangushwa utawala wa kidikteta, sawa.lakini itakuwaje kwa Marekani na Israel ikiwa utawala wa Syria utakaofuata ukiwa na uelekeo wa kiimani (Dini)zaidi!?
Si jambo lakushangaza kwa Marekani na Wamagharibi kuvuruga amani na hata kuwezesha kufanywa mapinduzi kwenye mataifa mengine lakini kinachoshangaza na kustaajabisha ni matokeo yake!
Ikiwa utawala wa Syria utakaofuata utaleta usumbufu na kusababisha matatizo zaidi kwa Marekani na washirika wake kuliko utawala walioung'oa basi ushindi wao utakuwa wa goli la kujifunga hautakuwa na maana kwao,watakuwa wamefunga lakini hawakushinda!
 
Ila Iran alipeleka wapiganaji na hata urusi aliwashambulia kwa mabomu waasi wiki iliyopita. Ni kweli kusema walizidiwa mataifa. Bado houthis
 
Honestly, kuanguka kwa huyu mwamba kiboko ya mataifa ya magharibi kumenihuzunisha sana. Was it coincidence or planned. Mbona imekuwa haraka sana wakati jana tu nimeskia Hezbollah wametuma maelfu ya wapiganaji kumsaidia ASSAD.

Wasiwasi wangu ni hii nchi kuangukia kwenye machafuko ya kila mara maana hawa wanamapinduzi wanataka nchi itawaliwe KIISLAM kwa itikadi kali, je itakuwaj hapo baadae.

All in all, nchi za magharibi ni chanzo cha machafuko na mapinduzi mengi Duniani ikiwemo Africa na hakika kwa hili wamefanikiwa. Yani wametegea RUSSIA na IRAN wako kwenye tension kubwa ya vita ndo wakawaambia waasi waanze safari ya kuelekea Damascus.

Je kuna uwezekano wa Russia na Iran ku-heat back ili kumrejesha kipenzi chao? Au ndo basi tena.

NB.
Kuna nchi nyingi sana Africa zimejificha kwenye kichaka kinachoitwa demokrasia, but in reality it's just propaganda or romantised democracy. Nchi km hizi pia mapinduzi ndo size yao.

Pole sana Russia, pole sana Iran, mimi nimeumia lakini nyie mmeumizwa zaidi.
Kuanguka kwa Assad ni mbaya kwa wamagharibi kuliko Russia na Iran.
Maana hao Jihadist wakishika madaraka watawageuka hadi USA na Israel waliowalisha na kuwasapoti.
Taliban iliundwa na kusapotiwa na USA at the end ikaigeuka USA kwa itikadi Kali za kidini.
Pia Itakua total chaos hapo Syria.
Israel isijitizame kuwa salama tena.
 
Wakati utatupa jibu sahihi,
Umeangushwa utawala wa kidikteta, sawa.lakini itakuwaje kwa Marekani na Israel ikiwa utawala wa Syria utakaofuata ukiwa na uelekeo wa kiimani (Dini)zaidi!?
Si jambo lakushangaza kwa Marekani na Wamagharibi kuvuruga amani na hata kuwezesha kufanywa mapinduzi kwenye mataifa mengine lakini kinachoshangaza na kustaajabisha ni matokeo yake!
Ikiwa utawala wa Syria utakaofuata utaleta usumbufu na kusababisha matatizo zaidi kwa Marekani na washirika wake kuliko utawala walioung'oa basi ushindi wao utakuwa wa goli la kujifunga hautakuwa na maana kwao,watakuwa wamefunga lakini hawakushinda!
Sawa na Iraq tu.
Iraq sasa ni pro-Iran tangu kuanguka kwa Saddam Hussein.
 
In a surprising move, a Syrian rebel extended a message of peace and cooperation during an interview with Israel’s Channel 11 saying, ‘Dear neighbors and friends from the friendly state of Israel, there will be no extremism; we share passion. We invite Israel to come to Syria and invest.’
View attachment 3172228
Kujidanganya tu hapo.
Waasi wako zaidi ya makundi Matano usidhani kuwa wote watakua na mlengo mmoja kama anavyoongea huyo.
 
Assad alikuwa Pandikizi la Russia na Iran kwa ajili ya kulinda maslahi yao!
Harafu vile vile inaonekana Wasyria walikuwa wamemchoka! Kwa sababu hakuleta mabadiliko yo yote baada ya vita,Wasyria wengi wamekimbia,Syria bado ni magofu!
Nadhani hata jeshi lake lilikuwa limemchoka!
 
Kuanguka kwa Assad ni mbaya kwa wamagharibi kuliko Russia na Iran.
Maana hao Jihadist wakishika madaraka watawageuka hadi USA na Israel waliowalisha na kuwasapoti.
Taliban iliundwa na kusapotiwa na USA at the end ikaigeuka USA kwa itikadi Kali za kidini.
Pia Itakua total chaos hapo Syria.
Israel isijitizame kuwa salama tena.
US au Israel zina hasara gani na uwepo wa Taliban pale Afghanistan?

Kuanguka kwa Assad ni hasara kubwa mno kwa Iran, ni hasara kwa Urusi, ni faida kwa Uturuki. Kwa Israel, uwepo wa Assad uliunda njia ya kupeleka silaha Lebanon hivyo kutokuwepo kwake ni faida kwa Israel.
 
Mnaosema Urusi na Iran wamshindwa Syria mtakuwa hamuelewi mambo yalivyo.

Syria population ni 75% Sunni Majority. Bashar Al Asad alikuwa ni ni Shia ndo maana Iran alikuwa anam support.

Ukifanya mahesabu unaelewa kwamba hata kama Russia na Iran wangeamua ku support Assad mpaka mwisho ingekuwa ni blood war na ni likely washia wangeshindwa, alichofanya Bashar itakuwa ni ushauri wa Iran na Russia kwamba hana namna zaidi ya kungoka madarakani because the odds are not on his favor.

Kwahiyo sioni hoja ya kushangilia kwamba Iran na Russia wameshindwa. Kuanguka Assad was inevitable
Mwanzo mbona walmsaidia, na akafanikiwa kuwepo Hadi sasa alipofurushwa?

Kubali tu mambo yamebadilika, Assad sasa ni mkimbizi kama wakimbizi wengine wa kisiasa,
 
Ila Iran alipeleka wapiganaji na hata urusi aliwashambulia kwa mabomu waasi wiki iliyopita. Ni kweli kusema walizidiwa mataifa. Bado houthis
Hawakushindwa bali waliona Syria army haiana mpango wa kupigana ni kama wamechoka pia .we mtu baki upambane wakati wenye nchi yao wana wakimbia waendesha boda boda
 
US au Israel zina hasara gani na uwepo wa Taliban pale Afghanistan?

Kuanguka kwa Assad ni hasara kubwa mno kwa Iran, ni hasara kwa Urusi, ni faida kwa Uturuki. Kwa Israel, uwepo wa Assad uliubda njia ya kupeleka silaha Lebanon hivyo kutokuwepo kwake ni faida kwa Israel.
Kwa Afghanistan nimetolea mfano wa Taliban kuigeuka USA kwa wao kuwa na mlengwa mkali wa kiitikadi ya kidini.
Vivyo hivyo huko Syria USA huwenda akageukwa pia.

Bado haijafahamika kama Russia itaondoa Kambi yake Tartus na haijajulikana kama kiongozi atakayeingia atakua na mlengo gani.
Iran haina hasara yeyote kwasababu Ina uwezo wa kupifikisha silaha Lebanon pasi na kupitia ardhi ya Syria.
Ukumbuke Houthi wanapokea silaha kutoka Iran bila ya mtu wa Kati na Yemen iko mbali sana na Iran.
Kwa Israel ni hasara kama Syria itageuka kuwa kama Iraq.
Ufahamu kuwa ndani ya Iraq kuna makundi ambayo yameshiriki kuisaidia Hamas mkuu.
Na ndani ya Iraq USA imeshashambuliwa mara kadhaa na washika silaha.
Yote hii ni kuwa tangu utawala wa Saddam uanguke basi Iraq ikawa pro-Iran.
Ngojea tuone huyo kiongozi atayekuja atakuaje.
Hilo ndilo la kutizamwa.
 
Back
Top Bottom