Je kubadili Power Stearing ya Umeme kuwa ya Hydraulic kwenye gari ni salama?

Je kubadili Power Stearing ya Umeme kuwa ya Hydraulic kwenye gari ni salama?

Nkuruvi

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
623
Reaction score
647
Wadau, Subaru Forester Non Turbo ina Electric Power Stearing imekuwa ikitoa mlio kama inagonga tairi la kushoto mbele. Fundi ameicheki, ananiambia tatizo ni Power Stearing, nan kwakuwa ni ya umeme huwa zinasumbua kwa namna hiyo. Amenishauri niibadioishe kutoka kuwa Power Stearing ya Umemeiweya Hydraulic kwa kiwa hata nikiirudishia ya umeme tena baada ya muda mfupi itasumbua tena. Naomba uzoefu kuwa kubadili Electric Power Stearing kuwa Hydrauoic Power Stearing ni salama? Haitazidi kusumbua?
 
huyo fundi aliyekwambia ubadili steering ni fundi bingwa aliyeiva kweli au ndio hawa kina maiko tunaowajua..kama huyo fundi ni hawa wa chini ya mwembe basi pekee hatoshi kuhitimisha alichosema ndio tatizo halisi la gari yako angalau uwaone mafundi japo watatu tofauti ili uwe na uhakika wa kumaliza tatizo..ila kwa mafundi wetu wa bongo kila mmoja atasema tatizo lake ni kuwa nao makini sana wanaweza kuua gari lako au kukupa tatizo jipya..kwa hawa mafundi wa gereji bubu nenda kwa zaidi ya mmoja kama kila fundi atasema tatizo lake basi tuliza kichwa sana ndo ufanye uamuzi unaishughulikia vipi hiyo gari
 
Nkuruvi kama upo DAR nenda Kwa jamaa mmoja anaitwa subaru-tz yupo salasala au Denis Wanafanya hiyo kazi.
Shida ya Subaru non turbo ni hiyo, na Sisi wenye Subaru za turbo shida yetu kubwa ni kufa kws turbo.

Tatizo mnaogopa za turbo alafu unakuja kukutana na majanga ya kubadilisha mfumo wa steering,
Rudi kwenye XT mkuu update kitu roho inapenda
IMG_20240801_153031~2.jpg
 
Nkuruvi kama upo DAR nenda Kwa jamaa mmoja anaitwa subaru-tz yupo salasala au Denis Wanafanya hiyo kazi.
Shida ya Subaru non turbo ni hiyo, na Sisi wenye Subaru za turbo shida yetu kubwa ni kufa kws turbo.

Tatizo mnaogopa za turbo alafu unakuja kukutana na majanga ya kubadilisha mfumo wa steering,
Rudi kwenye XT mkuu update kitu roho inapenda View attachment 3171036
Hatari sana Mkuu, gari inagonga balaa. Nilikwepa Turbo kumbe huku nako majanga.
 
huyo fundi aliyekwambia ubadili steering ni fundi bingwa aliyeiva kweli au ndio hawa kina maiko tunaowajua..kama huyo fundi ni hawa wa chini ya mwembe basi pekee hatoshi kuhitimisha alichosema ndio tatizo halisi la gari yako angalau uwaone mafundi japo watatu tofauti ili uwe na uhakika wa kumaliza tatizo..ila kwa mafundi wetu wa bongo kila mmoja atasema tatizo lake ni kuwa nao makini sana wanaweza kuua gari lako au kukupa tatizo jipya..kwa hawa mafundi wa gereji bubu nenda kwa zaidi ya mmoja kama kila fundi atasema tatizo lake basi tuliza kichwa sana ndo ufanye uamuzi unaishughulikia vipi hiyo gari
Ni fundi mzoefu, ila kwa issue alioniambia imenistua maana unabadili mfumo wa stearing. Nimeleta hapa maana naamini kuna wataalam wa hizi mambo.
 
Back
Top Bottom