Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habari.
Kuna watu wanadai mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako anaweza kukufanyia akuloge kwa jinsi atakavyotaka
Mfano.
Kama ni hitaji la Mapenzi basi hutakua na uamuzi wa kumkatalia huyo alichukua kucha zako.
Je Kuna Ukweli wowote Kuhusu hili?
Kuna watu wanadai mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako anaweza kukufanyia akuloge kwa jinsi atakavyotaka
Mfano.
Kama ni hitaji la Mapenzi basi hutakua na uamuzi wa kumkatalia huyo alichukua kucha zako.
Je Kuna Ukweli wowote Kuhusu hili?