Je kucha zako zaweza Kutumika kukuloga

Je kucha zako zaweza Kutumika kukuloga

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Habari.

Kuna watu wanadai mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako anaweza kukufanyia akuloge kwa jinsi atakavyotaka

Mfano.
Kama ni hitaji la Mapenzi basi hutakua na uamuzi wa kumkatalia huyo alichukua kucha zako.

Je Kuna Ukweli wowote Kuhusu hili?
 
Habari,

Kuna watu baadhi wanadai Mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako ataweza kufanya lolote kuhusu wewe. Mfano; Kama ni Mapenzi hutakuwa na uamuzi wa kumkatalia sababu kanunia zile kucha kuwa umpende bila kujiuliza.

Je kuna ukweli kuhusu hili? Je hili linafanyikaje?
 
nini kucha mkuu Apolinary mie hapa leso nakufutia jasho tu au uiguse naenda kukuroga vizuri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom