Je kucha zako zaweza Kutumika kukuloga

Je kucha zako zaweza Kutumika kukuloga

Mkuu vipi yamekusibu umeacha kucha sehemu nini? Watu wanaoamini haya mambo wanasema chochote kinaweza kutumika kukuroga ikiwa ni nguo yako yoyote, Unywele, unyayo, hata wale wazee wa kuchepuka husema kuwa ikitokea umepiga mechi ugenini basi yale material used (skin protector) usiziache huko kama ni kutupa beba ukatupe mwenyewe maana watu yamewakuta hayo ya kurogwa kwa kutumia hizo njia ( Stori za mtaa hizi). Ila mimi binafsi siamini haya mambo, Lakini KINGA ni bora kuliko dawa. Lolote laweza kutokea.
 
sio kucha tu hata ukianika Boxer nje mida ya night wazee wana beba wanafanya yao...ni hatari sana jamani...Unalala rijali unaamka shoga
 
Uache kuchepukaaa!!! Naiwekea password hiyo ikiwa ugenini haisimami dede mguu upande wala mguu sawa....hadi ije kwangu
Weka Heshima kwa mmeo !! yuko ugenini anamenyeka na kuramba vumbi, maboxi yanmsubiri kubeba !! wee wafanya ushirikina..... afauna-Aleki !!
 
upo Dada? ulipotea majukwaani au tulipishana Jukwaa nini
michango yako niliikosa
km ni kweli sasa hawa vijana wanaowakata kucha za miguuni na kupakaa rangi si watawabeba Dada zetu kwa foleni ? maana wanapowapapasa miguu yenu ya bia eti kukata kucha tu? huwa siridhiki na mm namuongezea MziziMkavu adadavue

Nipo mkuu Ukwaju, ni kweli nimekuwa adimu majukwaani. Majukumu yamenibana sana. Ila natokea mara chache kama hivi....
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana kuna ukweli, nimewahi shuhudia saluni jamaa ananyolewa nywele akaondoka nazo baada ya kumaliza akiamini nywele zinatumika sana katika ulozi. Kwa hiyo na kucha inawezekana kabisa ikawa kweli.
 
Back
Top Bottom