Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari.
Kuna watu wanadai mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako anaweza kukufanyia akuloge kwa jinsi atakavyotaka
Mfano.
Kama ni hitaji la Mapenzi basi hutakua na uamuzi wa kumkatalia huyo alichukua kucha zako.
Je Kuna Ukweli wowote Kuhusu hili?
Hili jukwaa thread zake nyingi kama sio maswala ya uchawi,basi itakuwa kuyaita majini au kumkataa MUNGU
huku wanasena eti ndio kuwa intelligent
Dah we acha tu mkuu.Kuna kithread nimekutana nacho jamaa anaelkeza jinsi ya kuliita jini.Hatari sana hii
hizo tu mbona ndio sehemu yake humu, , , theaf nyingine mpaka ukiisoma unaamua kuishia njiani
Hahaha unadhani hiyo kuita jini niliimaliza basi,niliipotezea maana unaweza kustuka ushaliita kipindi unasoma
Mkuu moto2012 Nimesha kuwa mimi Mlozi mkuu? mbona unanivunjia heshima yangu Mku nimekukosea kitu gani wewe ? Mbona wewe huna adabu kwanini?MziziMkavu ndo mlozi mkuu?
Kucha zako mwenyewe zinatumika kwa ubaya na kwa uzuri inategemea vile utakavyotumia. Kucha zako ka ikiwa kuna aduwi yako anakutafuta huwa anatafuta kucha zako mate yako nywele zako na nguo yako akisha vipata hivyo vitu vyote umekwisha huna ujanja tena atakuroga na kukufanya anavyotaka na utadhurika na hata kufariki dunia ugopa sana hivyo vitu vyako kuwa navyo aduwi wako.şHabari.
Kuna watu wanadai mtu yoyote akifanikiwa kupata kucha zako anaweza kukufanyia akuloge kwa jinsi atakavyotaka
Mfano.
Kama ni hitaji la Mapenzi basi hutakua na uamuzi wa kumkatalia huyo alichukua kucha zako.
Je Kuna Ukweli wowote Kuhusu hili?
Vipi Mkuu Ukwaju Hujambo lakini?upo Dada? ulipotea majukwaani au tulipishana Jukwaa nini
michango yako niliikosa
km ni kweli sasa hawa vijana wanaowakata kucha za miguuni na kupakaa rangi si watawabeba Dada zetu kwa foleni ? maana wanapowapapasa miguu yenu ya bia eti kukata kucha tu? huwa siridhiki na mm namuongezea MziziMkavu adadavue
Hili jukwaa thread zake nyingi kama sio maswala ya uchawi,basi itakuwa kuyaita majini au kumkataa MUNGU
Hahahaaa! Watu mko deep sana. Hili jukwaa ni waru waru sana! Mara kuzima mshumaa kwa kope za macho, mara kuongea na maiti, yaani alimradi kuchanganya habari!
Uwe na heshima katika kuzungumza na watu usitafute kupata umaarufu kupitia mgongo wangu tafadhali sana jiheshimu nina kuheshimu usinitaje taje tena tafadhali sana umeniudhi sana leo nimekusamehe usirudie tena kuni Tag na kuleta Pumba zako. Futa ujumbe wako ulisema kuw amimi ni mlozi tafadhali sana.Mkuu MziziMkavu, kumradhi kwa madhila yalokufika kwa post yangu, lengo l ilikuwa ni kuwa kudadisi ni kwanini at first place uliitwa kuchangia. Kumradhi sana