Tatoo inaleta shida Gani haswa?Kila dini tatoo inakatazwa
Usikiongelee kitu ambacho hukijui ukakitolea hukumu, utakuja beba dhambi za watu wote unaowapotoshaSiyo dhambi... Tatoo haichafui roho yako kama hujaambatanisha na mambo ya kichawi.
Hivyo kama roho yako ipo salama basi kuchora tatu si dhambi
Kama unatafsiri bibilia kirnyeji hivi, basi utaishi kwa mateso sana.Msile nyama yoyote yenye damu. Msipige bao wala kufanya uchawi. 27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu. 28Msijitie alama zozote mwilini mwenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata mwilini au kujichanja chale. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.( walawi 19.27)
Tuambie wewe ambaye unajua kutafsiri tofauti na hapo palipo andikwaKama unatafsiri bibilia kirnyeji hivi, basi utaishi kwa mateso sana.
unamaanisha nini kusema kienyeji?Kama unatafsiri bibilia kirnyeji hivi, basi utaishi kwa mateso sana.
Sijui kwa nini umeweka hiyo Isaya 44:5 ila nachojua Biblia inakataza kabisa kuchanja alama za chale au kuchora mwiliTwende na nabii mkuu yeye kanukuu. AMPC Bible. Isaya 44.5
Karibu tujadili.
Elezea upande wako wewe inakuwa je dhambi?Usikiongelee kitu ambacho hukijui ukakitolea hukumu, utakuja beba dhambi za watu wote unaowapotosha
Tatoos influence negative energies n' evils spirits over your body!Twende na nabii mkuu yeye kanukuu. AMPC Bible. Isaya 44.5
Karibu tujadili.