Je, kuchora tatoo ni dhambi au si dhambi kwa Wakristo?

Je, kuchora tatoo ni dhambi au si dhambi kwa Wakristo?

Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.

Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.

Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.

Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.

Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.

Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.

Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Utamaduni haumzuii Mtu kujisitiri.
Suala,mini skirt sio mavazi ya Mkristo bali hio ni milango ya mapepo kuingia mwilini,
 
Jibu swali kauliza wakilisito akusema dini we vipi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Una nilazimisha mimi kujibu swali kwa kigezo gani? Au ni Mihemko yako na hasira zako? Si lazima kujibu swali, Pia si lazima nijibu swali kama utakavyo wewe au atakavyo mleta mada...!!!

Haya ni maoni na mawazo yangu binafsi wala sihitaji kujua unayachukulia vipi, Huwezi nipangia cha kujibu kila mtu yuko huru kujibu atakavyo.

Ukijibu wewe swali inatosha! Si lazima kila mtu ajibu kama utakavyo wewe!!

U get it?????
 
Msile nyama yoyote yenye damu. Msipige bao wala kufanya uchawi. 27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu. 28Msijitie alama zozote mwilini mwenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata mwilini au kujichanja chale. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.( walawi 19.27)
Mbona wakiristo wenyewe huko urope ndo wachoraji wakubwa na wakiristo ndio wanakata ndevu?
 
Mungu haangalii utamaduni, anaangalia neno lake.
Umejuaje kwamba Mungu ha angalii utamaduni? Ulikutana naye aka kwambia ana angalia neno lake?

Neno lake ni lipi? Na umejuaje kwamba ni neno lake? Aliyekwambia Mungu ana "Neno" ni nani?
 
Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.

Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.

Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.

Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.

Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.

Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.

Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Mkuu waafrika hasa watanzania walisha haribiwa na dini...

Wala hawatumii Akili zao kufikiri wao ni "Dini" zimetawala vichwa vyao....
 
Usikiongelee kitu ambacho hukijui ukakitolea hukumu, utakuja beba dhambi za watu wote unaowapotosha
Wewe unakijua??

Nani aliye kwambia mtu mmoja hubeba dhambi za kundi la watu?? Au ni hofu zako tu??
 
Back
Top Bottom