Siyo dhambi... Tatoo haichafui roho yako kama hujaambatanisha na mambo ya kichawi.
Hivyo kama roho yako ipo salama basi kuchora tatu si dhambi
Dini ni utumwa.
Enjoy Life to the fullest.
Siyo dhambi... Tatoo haichafui roho yako kama hujaambatanisha na mambo ya kichawi.
Hivyo kama roho yako ipo salama basi kuchora tatu si dhambi
Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.
Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.
Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.
Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.
Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.
Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.
Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Kama unatafsiri bibilia kirnyeji hivi, basi utaishi kwa mateso sana.
Jibu swali kauliza wakilisito akusema dini we vipi?Dini ni utumwa.
Enjoy Life to the fullest.
Naamini kupitia andiko hili wakiristo awafati biblia sababu wakiona mwanaume mwenye ndevu mafano awe muisilamu sio kuponda huko laMsile nyama yoyote yenye damu. Msipige bao wala kufanya uchawi. 27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu. 28Msijitie alama zozote mwilini mwenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata mwilini au kujichanja chale. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.( walawi 19.27)
Dhambi maana yake nn?Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.
Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.
Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.
Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.
Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.
Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.
Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Hii ni aina ya tafakari ya watu wa mwilini, siku ukijifunza kuwa Mungu ni roho utakua kiroho. Kwa sasa endelea kuhangaika na flesh.Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.
Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.
Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.
Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.
Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.
Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.
Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Maandiko hayataki tafsiri bali TAFAKARI. Usipoelewa tofauti utaendelea kujiona mjanja lakini ni hekima machoni pako tu. TAFAKARIKama unatafsiri bibilia kirnyeji hivi, basi utaishi kwa mateso sana.
Hivi kusudi la kuchora tattoo ni nini? Kwa nini mtu atake kuchora tattoo?Siyo dhambi... Tatoo haichafui roho yako kama hujaambatanisha na mambo ya kichawi.
Hivyo kama roho yako ipo salama basi kuchora tatu si dhambi
Huyu nabii kwanini anaukwepa mstari unaopiga marufuku tatoo? Hamna sehemu ambayo Mungu anaelekeza watu wake wakachore tatooTwende na nabii mkuu yeye kanukuu. AMPC Bible. Isaya 44.5
Karibu tujadili.
Law 19:28 SUVTatoos influence negative energies n' evils spirits over your body!
Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.
Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.
Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.
Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.
Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.
Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.
Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
Kosa lina tabia moja. Ikirudiwa na kufanywa na watu wengi kwa muda mrefu inageuka na kuoneka siyo dhambi na ni jambo la kawaida kabisa kwa jamii husika.Tatoo inaleta shida Gani haswa?
Sipendi kuchora tatoo lakini sidhani kama inamletea mchoraji dhambi yoyote labda kama hiyo tatoo anaichora ikihusiana na matendo maovu.
Yaani mtu achore picha yake au msalaba au ya mwenza wake halafu awe kafanya dhambi? Sasa dhambi hapo ni nini yaani kabisa.
Nadhani wahafidhina wa dini Huwa hawapendi vitu vipya vinavyotokea na mwanzo Huwa wanavipinga sana ila vikizoeleka inaonekana kawaida.
Hata wanawake walipoanza kuvaa suruali Ilikua changamoto ikionekana hadi ni dhambi lakini ilipozoeleka imekua ni jambo la kawaida kabisa.
Tuna amri moja tu upendo, jambo lisilo na madhara kwako na mwingine kuitwa dhambi ni ulimbukeni.
Mambo mengine sio ya kiimani wala dini ni utamaduni wa mahali.
Kwa mfano mwanamke akivaa sketi fupi akaingia kanisani kijijini Mpitimbi itaonekana ni shida haswaa, lakini mwanamke huyohuyo akivaa hivyohivyo akaingia kanisani kuu la Mtakatifu Paulo London haitakua shida hakuna atakae jali kwasababu ya utamaduni wa mahali.
So mtumishi anaesapoti yupo upande wa shetaniTatoo ni michoro ya kishetani
Pana mtumishi katumia hilo andiko kuhalilisha tatoo sio dhambiSijui kwa nini umeweka hiyo Isaya 44:5 ila nachojua Biblia inakataza kabisa kuchanja alama za chale au kuchora mwili
Walawi 19:28
Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.